The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
- Thread starter
- #21
Nilikuwa zamani wakija wageni wa ghafla kwetu hata kama age zangu, ikifika time za misere yangu nawaaga natoka kidogo kidogo. Nachukulia kuwa hawajanijia mie :]]
ha haa haa hiyo easy ukiwa kwenu
but kwako ni ngumu....labda ujifanye 'umeitwa kazini ghafla'
uwe na kazi ya aina hizo lol