Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Ukimsikia mtu anapinga kuwepo kwa wachawi, mwangalie Mara mbilimbili, utakuta anafuga bundi ili kuwinda panya!, anamiliki fisi usiku ili kulinda mifugo! Wachawi wanataka "maggles" kwa mujibu Harry Potter wasijue kinachoendelea duniani
Kweli kabisa,sawa na waliopewa dhamana ya kusimamia uchaguzi halafu wanaiba kura
 

Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.

Baadhi wa Wananchi walikusanyika na kuandama barabarani wakiimba “Tumechoka na uchawi” huku wakisapoti kile kinachofanywa na Viongozi wao.

Hata hivyo operesheni hiyo imepingwa vikali na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ambaye amezuiwa kuingia kijijini hapo ikiwa yupo kinyume cha mpango huo.

DC Dinah Mathamani amesema “Tumejadili na viongozi kuhusu suala hili, wale wanaojiita Waganda wanatakiwa kuondoka katika wilaya yetu, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao na viongozi wanaoshirikiana nao.

Chanzo: UFM
Miongoni mwa mikoa ambayo Ina watu primitive, wasiopendana, wasiojali utu ni wakigoma(Muha). Ni WA ovyo sana Hawa watu, nadhani ndo maana mkoa huu una changamoto za kimaendeleo. Ubishi, na kujifanya wajuaji(much know)
 
Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Eti hata upige risasi ngapi humuui? Mtu asipokufa ni mipango ya Mungu tu na siyo nguvu za uchawi vinginevyo hao Wachawi wenyewe wasingekuwa wanakufa.
 
twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.

baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk

dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Kwa uwezo huo basi huyo Mchawi anaweza zuia hata kifo.Imani zingine zinachekesha sana
 
Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.

Huu ujinga huwa mnasomea wapi? Watu kama nyie ndo walikua wahanga wa maji maji war
 
twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.

baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk

dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua

Inabidi uwe zwazwa pro max kuamini huu utopolo.
 
Ujinga na umaskini ni mzigo mkubwa sana. Inabidi uwe zwazwa pro max kuamini story za ushirikina.
 
Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Yapo majambazi mengi huku Kigoma yame survive risasi sababu ya hizo chale. Ushirikina unatumika ndugu hata kikosi kilichokua kinawasaka kilikua kimeiva kwenye "dark arts".

Njoo huku Kigoma upate shuhuda za live live sio za kusimuliwa. Mimi napinga ushirikiana ila nakubali uchawi upo, in fact ukiwa mtu wa maombi huku huwezi kulala maana wanakuja "kukupima" usiku usiku.
 
Back
Top Bottom