Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Mwaka huu nilikua nafatilia maswala ya mirath ya mzee, so ilinifanya nikatembelea ofisi nyingi za kiserikali. Kwa kawaida ukiwa unafatilia mirathi hizi ofisi lazima ufike zote au chache:
Ngoja nikupe mfano mmoja baada ya kesi ya mirathi kuisha ilibidi tupate nakala ya hukum itakayotumika bank pssf na ktk taasisi zingine but secretary wa mahakama alituambia ana kaz nyingi hivo tuje baada ya week 2 ilibidi tumpe pesa pale na akaichapa mda huo huo tukaondoka nayo, na kitu kimoja nimejifunza ktk ofis nying nilizopita ofisi ambayo nilikutana na muhusika ni mwanaume nilipita kirahisi ila ofisi zote nilizokuta muhusika ni mwanamke nilikwama na ndo nilitumia sana pesa kwa hawa dada zetu.
Sisi tukiwa kwenye vyeo tusiwe tuna roho mbaya jaman swala unaloweza kulifanya leo unamwambia mtu aje week 2 au 3 hujui unakwamisha watu wangap, kuna watu niliowakuta nao wanafatilia mirathi na wamepigwa kalenda tangu mwaka jana na mambo bado na ukimwangalia hana pesa ya kutoa sehem yeyote ile dah inauma sana.
kitu kimoja nilijifunza baadhi ya ofis nilizokua naenda nasaidiwa bila kuombwa chochote nilikua najikuna nampa ata buku tano mhusika namwambia pesa ya chai, ilinisaidia maana kuna wakati nilikua naambiwa umekosea hapa rudi ofisi flani ukalekebishe ukiludi tu anakusaidia fasta anakumbuka fadhila zako.
Ijapokua mimi nilikua na watu tunaofahamiana baadhi ya ofis ila mpka sasa sijatoboa miez 3 ila nyie mliopo humu km upo kitengo chochote ebu tuache roho mbaya jaman fanyeni kazi kwa utu na moyo, sehemu tulipoenda na tukasaidiwa bila kigugumizi ni bank tu.
Nawasilisha ndugu zangu.
- Mtendaji
- Vizazi na vifo
- Mahakama ya mwanzo
- Mahakama kuu
- Bank
- PSSF
Ngoja nikupe mfano mmoja baada ya kesi ya mirathi kuisha ilibidi tupate nakala ya hukum itakayotumika bank pssf na ktk taasisi zingine but secretary wa mahakama alituambia ana kaz nyingi hivo tuje baada ya week 2 ilibidi tumpe pesa pale na akaichapa mda huo huo tukaondoka nayo, na kitu kimoja nimejifunza ktk ofis nying nilizopita ofisi ambayo nilikutana na muhusika ni mwanaume nilipita kirahisi ila ofisi zote nilizokuta muhusika ni mwanamke nilikwama na ndo nilitumia sana pesa kwa hawa dada zetu.
Sisi tukiwa kwenye vyeo tusiwe tuna roho mbaya jaman swala unaloweza kulifanya leo unamwambia mtu aje week 2 au 3 hujui unakwamisha watu wangap, kuna watu niliowakuta nao wanafatilia mirathi na wamepigwa kalenda tangu mwaka jana na mambo bado na ukimwangalia hana pesa ya kutoa sehem yeyote ile dah inauma sana.
kitu kimoja nilijifunza baadhi ya ofis nilizokua naenda nasaidiwa bila kuombwa chochote nilikua najikuna nampa ata buku tano mhusika namwambia pesa ya chai, ilinisaidia maana kuna wakati nilikua naambiwa umekosea hapa rudi ofisi flani ukalekebishe ukiludi tu anakusaidia fasta anakumbuka fadhila zako.
Ijapokua mimi nilikua na watu tunaofahamiana baadhi ya ofis ila mpka sasa sijatoboa miez 3 ila nyie mliopo humu km upo kitengo chochote ebu tuache roho mbaya jaman fanyeni kazi kwa utu na moyo, sehemu tulipoenda na tukasaidiwa bila kigugumizi ni bank tu.
Nawasilisha ndugu zangu.