Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

images-1.jpg

Wadau wakijipongeza baada kumuua koboko mdogo.
 
Nimeanzisha program ya Snake in the City mkimuona Black Mamba mnitafute kwa Www. Snake in the City .com nakuja fasta kumalizana nae.
 
Kuna kiboko ya nyoka hao wote yule mnanya anaitwa Honey B......nimesahau jina lake la mwisho anakula nyoka sana then analala saa moja baada ya kula.
 
Huko botswana koboko anaheshimika, kama unavyoona,hapo kwenye kambi moja huko okavango delta,koboko kaziriwa choo mpaka alipoondoka mwenyewe.
 

Attachments

  • black-mamba-in-toilet.jpg
    black-mamba-in-toilet.jpg
    179.4 KB · Views: 40
Ni kweli kabisa, kutana na hao wengine wote Ila sio koboko, ukizisoma tafiti zao, hao nyoka wengine hujaribu kuepusha shari hata ukikutana nae.
Koboko yeye huepusha shari asikutane na wewe kabisa, Ila sasa akikuona tu, hajui kama uliingia anga zake kwa bahati mbaya ama la, yeye ni tifu kwa kwenda mbele. Kwa kifupi, tofauti na hao wengine, yeye ukikutana nae sali sala zako za mwisho.
Naombeni picha ya koboko
 
images.jpg

Watu hujisikia fahari sana wanapomuua koboko japo bado hajakomaa.
 
Kweli nyoka ni hatari lakini pia ni waoga ile mbaya. Nyoka wengi mara nyingi hutimua mbio kwa uoga wanapomwona mtu anawasogelea, wakidhani mtu atamwangukia.
 
Cha kufanya baada ya kupokea last warning kutoka kwa muheshimiwa Blackmamba, kumbuka wakati huu mtakuwa mmetenganishwa umbali wa either mita mbili au tatu..

1- Usithubutu kuinama kuokota chochote kwa lengo la kumshambulia.

2- Kama unafimbo na hunahakika na shambulio lako endelea kujikausha huku ukiomba sana dua.

3- Huku ukimuangalia kwa makini kwa utulivu kabisa rudi nyuma taratibu kuongeza umbali baina yako na muheshimiwa.

Ukionesha nidhamu kwa hatua hizo tatu juu, unaweza kutoka salama..!!! hapo sasa nenda dukani, kanunue soda baridi sana uipendayo na ujipooze maana mpaka kufikia hapo utakuwa umesweat vya kutosha sana!!!
Hakuna mda wa kupanga yote hayo dawa ni mbiyo tu huku ukipa kelele za ajabu
 

Angalia koboko huyu mdogo alivyomtia adabu simba.na bado amaendelea kugonga mpaka simba amekufa bado anagonga tu.akikomaa huyu hata tembo anashika adabu.
Leo nyumbabi madale narudi vipi mzigo huu mwili wote umechoka kabisa
 
images-7.jpg

King nae anasehemu yake katika ulimwengu wa nyoka
images-8.jpg

Huyu ndio nyoka anayeweza kupambana koboko aliyekomaa.
 

Kwenye hii video yenye kufundisha,inaonyesha kijana wa kiasia akipoteza maisha,ni baada kumchezea king cobra huyu,dogo anajisahau king anamng'ata kwenye mkono halafu anaung'ang'ania mkono wa dogo anapump kiasi kikubwa cha venom..dogo anafia hospitali.
 
Back
Top Bottom