imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
hapana kaka ni Black Mamba mwenyew
hapana kaka ni Black Mamba mwenyew
Ni Black Mamba mkuu walikuepo wazee wa pori wana mfaham vzrSwila huyo!
Kaka huyo mwenyew bado ni mdogo sana, ni mkubwa wa huyo wamasai wana mfaham vzr wanakutana nai sana hao ktk harakati zao mkuu, labda hiyo mweusiiiiiii tiiiiii ndo imezingua kakin ni yeye mkuuHakuna koboko ambaye ni mweusiii tiii!!!
Mis naona umevutiwa na hubaDuuh wiki nne,!! wakitoka hapo kukutana tena baada ya muda gani!?

Inategemea unafanya kazi gani kama unaishi mijini uwezekano wa kukutana na koboko aliyekomaa haupo,ila kama kazi yako ni kwenye mapori,uwezekano ni mkubwa au kama ni dereva unasafiri mikoa yenye mapori uwezekano ni mkubwa haswa pale unapoenda kuchimba dawa kuwa mwangalifu ukikutana naye wewe kimbilia ulikotoka.Sasa mkuu kama nikikutana nae uso kwa uso ananimaliza, ni njia gan za kijikinga mkikutana uso kwa uso?
Hivi yule wa morogoro aliishiaga wapi?Huyo mdudu namba tano hafai kabisa.. Alishasababishaga kilombero, morogoro.
Koboko wako wa aina nne ila koboko wanaokuwa wakubwa na hatari ni aina moja tu na huwa na rangi ya khaki hadi maji ya kunde,akikomaa sana huwa na kamng'ao kama ka silva hivi hapo ina maanisha ameshavua gamba mara nyingi sana.Kaka huyo mwenyew bado ni mdogo sana, ni mkubwa wa huyo wamasai wana mfaham vzr wanakutana nai sana hao ktk harakati zao mkuu, labda hiyo mweusiiiiiii tiiiiii ndo imezingua kakin ni yeye mkuu
Naufahamu sana. Nimepiga sana kandanda miake ileeee..Mkuu unaufahamu uwanja wa magunia
Snake farm nyoka wengi wametolewa menoSnake farms?sisi tulikuwa wawindaji wa mapori makuu..eti snake farms.
kwaio ni mnyama gani ambaye anaweza kumuua huyo koboko ?Nyegere wameshawahi kukutwa wamekufa na ni nani mwingine nguchiro yeye huwa anaangalia size akiona kitu kimekomaa anakimbia.
View attachment 725028 Hapa nguchiro amepima ameona huyu hamuwezi akatoka baruti.
Mwanadamu,katika viumbe waharibifu ni sisi utakuta mtu anawasha mapori moto,mayai ya viumbe hawa yanaangamia, hasa habitat loss watu wanakata miti ovyo.kwaio ni mnyama gani ambaye anaweza kumuua huyo koboko ?
Mkuu napenda sana kuangalia nyoka, hapa nasoma post kwa post....natamani niende huko sikongeMimi hilo pori nalijua sana kuanzia Sikonge mpaka Inyonga sasa kwenye hilo pori koboko waliokomaa ni wengi kuna wengine wanafikisha mita 19 na kuendelea. hahahaa..
Hiii kali kulikokweli kabisa, ila kule kuna watalaamu sana wa nyoka, nakumbuka kuna mazee yalikua maganga, yanpiga vingoma vyao nyoka wote walikua wana fika ila kwa koboko ndio ilikua mbinde ku attend, alikua anaweza kuja eneo ila hasogei anakaa kwa mbalii... pia nafikiri kwa sasa ivi wanaweza kuwa wamepungua kutokana na shughuli nyingi za kibinadamu kusogea kwenye misitu ya asiri
Nenda Arusha sehemu ya duka bovu, snake parkMimi napenda nishuhudie misala ya nyoka nikiwa sehemu salama.
Ila siombei nikutane na nyoka anayetaka kushambulia au niingie ktk himaya yake.
Kuazia Ipole mpaka Inyonga kutoka Iinyonga mpaka 40km kufika Mpanda halafu ingia Katavi hayo maeneo kila mtu ameshawahi katika nyakati tofauti na koboko aliyekomaa.Mkuu napenda sana kuangalia nyoka, hapa nasoma post kwa post....natamani niende huko sikonge
Kuna mpango nadhani mwaka huu.Ipo siku nitapitia barabara hiyo Mungu akinijaalia.
Hivi siku hizi imewekwa lami?