Duh.ndio hao mkuu,, kumbe na wao wana siku zao za kung'ata!!!😛😛ndo hawa waliojaa mashambani kwetu wakijani?,nilisikia hawang'ati mpaka alhamisi
hahahahaah nilisikia uraiani huku kuna siku alidondokaga kwenye mkungu enzi hizo jamaa alimkamata akajua kungu kumbe nyoka ila hamdhuru akaporochoka akakimbia tuDuh.ndio hao mkuu,, kumbe na wao wana siku zao za kung'ata!!!😛😛
Tupo wengi mkuu.Yaani nikimuona siku inaharibika kabisahuku sio kwangu kabisa, hizi vitu huwa zinanisumbua sana kichwa, kitu kinachoitwa nyoka kwangu ni shida sana hapakaliki leo
Tena tafiti zao wanazofanya wanaangalia tu ukali wa sumu lakini hawasemi kwa ukali (aggressiveness) wa nyoka yupi ni most deadly, wangemkuta Koboko ni nambari moja
hahahahaah nilisikia uraiani huku kuna siku alidondokaga kwenye mkungu enzi hizo jamaa alimkamata akajua kungu kumbe nyoka ila hamdhuru akaporochoka akakimbia tu
Ni kweli kabisa, kutana na hao wengine wote Ila sio koboko, ukizisoma tafiti zao, hao nyoka wengine hujaribu kuepusha shari hata ukikutana nae.
Koboko yeye huepusha shari asikutane na wewe kabisa, Ila sasa akikuona tu, hajui kama uliingia anga zake kwa bahati mbaya ama la, yeye ni tifu kwa kwenda mbele. Kwa kifupi, tofauti na hao wengine, yeye ukikutana nae sali sala zako za mwisho.
Wee unamjuwa Green mamba lakini? Ni hatari sana
Ndiyonyoka au
Ni kweli, kama una shamba LA bangi usiende shamban mida kuanzia SAA saba mchana na saa 11 jion, lakin pamoja na Hatar yake analiwa sana na bundi na ndege wengine wala nyama![]()
![]()
mkuu ni kweli au utani
Haswaa, mi naamini Wizara ya Maliasili na Utalii wangewezaa kumpromot sana huyu nyoka mwenye sifa nyingi sana na zingine zinahusishwa na viumbe wa ajabu(kama majini) na ikawa moja ya source ya kuingiza nchi pesa. Wangeweza hata kujenga Snake Parks nyingi wakawa wanatunzwa maana watu binafsi wamiliki wa snake parks hua wanaogopa sana kumuweka huyu kiumbe hasa akiwa mkubwa. Wanasema nyoka wenye hasira kama koboko hawapendi kufugwa na uangalizi wao lazima uwe exra ordinaryLabda kwa kuwa koboko hawapo kwao, so watoa matokeo ya tafiti yasiyomuweka koboko namba moja ikawa promo kwetu.
Simu hiyo yaweza kuua pasipo nyoka kuuma?5. BLACK MAMBA
Ana uwezo wa kushambulia kwa kurusha sumu hadi mara 12 kwa wakati mmmoja ambayo huweza kuuwa binadamu 10 hadi 25 kwa wakati mmoja.
Sumu.Simu hiyo yaweza kuua pasipo nyoka kuuma?
Hawa ndiyo wale wanaopenda kuishi kwenye miti?
Kama ni hao basi walinisamehe tu maana kuna siku aliingia ndani nikamuua bila kusababisha madhara kwangu. ila siku nyingine aliingia ndani nikamsaka nikamkosa, nikaamua kuacha mlango wazi na kukaa mbali. baada ya muda nilimuona anatoka nje mwenyewe. Sikuona ukorofi wao. Kuhusu kuwa na sumu kali, mi sijui.
Eeee nyoka huyu huwa mtulivu sana ila ukimchokoza tu utaona balaa lakeNyoka makengeza, huyu akikuuma chini unavimba juu. Yeye huuma zaidi wakati wa giza. Maranyingi haonekani hadharani, na hupendelea kuuma zaidi watu wa jinsia ya K. Nyoka huyu yupo kila mahari duniani na hupendwa na kila mwanamke kwa style yake ya uumaji. Sumu yake inasemekana akiuma maramoja huweza kudhuru hadi wanawake billioni moja. Na hutoa sumu kati ya mills, 150 hadi 200.hana macho ila ana mdomo tu
Yani ukishaona amesimama hivyo ujue hapo hakuachi hata ukimbie vipi ,,,yani hapo ni kuomba mungu tu nyegere au nguchiru akatize katikati ndo utaponaView attachment 724115
Koboko aliyekomaa ni nyoka hatari duniani,walla usisikilize sijui wataalam wewe ukiona kitu saizi hii wewe kimbia