hahaha koboko ni aggressive by nature halafu anaConfidence ya ajabu sana....mm nashangaa tu hiyo tabia yao ya kukukimbizaNi kweli kabisa, kutana na hao wengine wote Ila sio koboko, ukizisoma tafiti zao, hao nyoka wengine hujaribu kuepusha shari hata ukikutana nae.
Koboko yeye huepusha shari asikutane na wewe kabisa, Ila sasa akikuona tu, hajui kama uliingia anga zake kwa bahati mbaya ama la, yeye ni tifu kwa kwenda mbele. Kwa kifupi, tofauti na hao wengine, yeye ukikutana nae sali sala zako za mwisho.



hahahaView attachment 724115
Koboko aliyekomaa ni nyoka hatari duniani,walla usisikilize sijui wataalam wewe ukiona kitu saizi hii wewe kimbia
Cha kufanya baada ya kupokea last warning kutoka kwa muheshimiwa Blackmamba, kumbuka wakati huu mtakuwa mmetenganishwa umbali wa either mita mbili au tatu..
1- Usithubutu kuinama kuokota chochote kwa lengo la kumshambulia.
2- Kama unafimbo na hunahakika na shambulio lako endelea kujikausha huku ukiomba sana dua.
3- Huku ukimuangalia kwa makini kwa utulivu kabisa rudi nyuma taratibu kuongeza umbali baina yako na muheshimiwa.
Ukionesha nidhamu kwa hatua hizo tatu juu, unaweza kutoka salama..!!! hapo sasa nenda dukani, kanunue soda baridi sana uipendayo na ujipooze maana mpaka kufikia hapo utakuwa umesweat vya kutosha sana!!!


unaweza kuta yupo nyuma yako amekufata huko dukaniHapana si kweli black mamba kama nyoka wengine hawana tabia ya kukimbiza wao wakiona hatari hujiondokea na hawapendi bughudha..Ukikutana nae huyo uwe na mbio la sivyo umekwisha, wanakimbiza hadi gari![]()
Kuna bange huko ulaya inaitwa 'koboko'BLACK MAMBA AU KOBOKO WANAPATIKANA KWA WINGI MKOA WA TABORA WANA KULA BANGI HATARI
Wewe unaongelea wale koboko wa kwenye magazeti!ingia pori la ipembampasi huko tabora ukajionee mwenyewe.Hapana si kweli black mamba kama nyoka wengine hawana tabia ya kukimbiza wao wakiona hatari hujiondokea na hawapendi bughudha..
Hakuna nyoka anayekimbiza watu huyo nyoka hayupo duniani labda kwa baadae nyoka wa aina hio atokee .Dah! Mkuu, kitu umekitolea wapi hiki? Black Mamba wa size hiyo ni the most dangerous and deadly creature..... huyo atakua na eneo lake la kujidai(territory), tena kubwa sana na ukisogea kwenye orbit yake atakufuata kwa kasi ambayo hutaweza kumkimbia. Wazungu na wataalam waje watuambie hapa na utaalamu wao ni nyoka gani wa ukubwa huo anaweza akakukimbiza kama sio Black mamba pekee? Natamani watu wa wizara husika wawe wanapita kwenye thread kama hizi waone watu walivokua na maoni ya kuendeleza na kutunza mali asili. Unfortunately these are endangered species. Ni nadra siku hizi kumpata wa ukubwa huo
kuna wengine wanakuwaga warefu pia sijajua kama ndo hao but ni wembambawale wafupi wadogo wadogo..??
Njia ulizotoa sio sahihi black mamba unamkamata nipe fimbo nakukamatia mamba bila kumjeruhi wala kumuuaCha kufanya baada ya kupokea last warning kutoka kwa muheshimiwa Blackmamba, kumbuka wakati huu mtakuwa mmetenganishwa umbali wa either mita mbili au tatu..
1- Usithubutu kuinama kuokota chochote kwa lengo la kumshambulia.
2- Kama unafimbo na hunahakika na shambulio lako endelea kujikausha huku ukiomba sana dua.
3- Huku ukimuangalia kwa makini kwa utulivu kabisa rudi nyuma taratibu kuongeza umbali baina yako na muheshimiwa.
Ukionesha nidhamu kwa hatua hizo tatu juu, unaweza kutoka salama..!!! hapo sasa nenda dukani, kanunue soda baridi sana uipendayo na ujipooze maana mpaka kufikia hapo utakuwa umesweat vya kutosha sana!!!
black mamba ndio koboko?Hapana si kweli black mamba kama nyoka wengine hawana tabia ya kukimbiza wao wakiona hatari hujiondokea na hawapendi bughudha..
Hakunaga hiyo mkuu. Embu kachokoze hata ka cobra kadogo tu halafu ulete mrejesho ukiwa ICU.Nasikia nyoka wana aibu sana![]()
Ukikutana nae huyo uwe na mbio la sivyo umekwisha, wanakimbiza hadi gari![]()
Ugomvi wa nyoka anayepoteza timing ndiye anakuwa msosi..
King cobra michezo hii anaiweza sana japo si wa kudhaminika kirahisi kwa Koboko...