Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani


Angalia koboko huyu mdogo alivyomtia adabu simba.na bado amaendelea kugonga mpaka simba amekufa bado anagonga tu.akikomaa huyu hata tembo anashika adabu.
 
Ni kweli kabisa, kutana na hao wengine wote Ila sio koboko, ukizisoma tafiti zao, hao nyoka wengine hujaribu kuepusha shari hata ukikutana nae.
Koboko yeye huepusha shari asikutane na wewe kabisa, Ila sasa akikuona tu, hajui kama uliingia anga zake kwa bahati mbaya ama la, yeye ni tifu kwa kwenda mbele. Kwa kifupi, tofauti na hao wengine, yeye ukikutana nae sali sala zako za mwisho.
hahaha koboko ni aggressive by nature halafu anaConfidence ya ajabu sana....mm nashangaa tu hiyo tabia yao ya kukukimbiza
 
.
FB_IMG_1519630631395.jpg
 
Cha kufanya baada ya kupokea last warning kutoka kwa muheshimiwa Blackmamba, kumbuka wakati huu mtakuwa mmetenganishwa umbali wa either mita mbili au tatu..

1- Usithubutu kuinama kuokota chochote kwa lengo la kumshambulia.

2- Kama unafimbo na hunahakika na shambulio lako endelea kujikausha huku ukiomba sana dua.

3- Huku ukimuangalia kwa makini kwa utulivu kabisa rudi nyuma taratibu kuongeza umbali baina yako na muheshimiwa.

Ukionesha nidhamu kwa hatua hizo tatu juu, unaweza kutoka salama..!!! hapo sasa nenda dukani, kanunue soda baridi sana uipendayo na ujipooze maana mpaka kufikia hapo utakuwa umesweat vya kutosha sana!!!
unaweza kuta yupo nyuma yako amekufata huko dukani
 
Dah! Mkuu, kitu umekitolea wapi hiki? Black Mamba wa size hiyo ni the most dangerous and deadly creature..... huyo atakua na eneo lake la kujidai(territory), tena kubwa sana na ukisogea kwenye orbit yake atakufuata kwa kasi ambayo hutaweza kumkimbia. Wazungu na wataalam waje watuambie hapa na utaalamu wao ni nyoka gani wa ukubwa huo anaweza akakukimbiza kama sio Black mamba pekee? Natamani watu wa wizara husika wawe wanapita kwenye thread kama hizi waone watu walivokua na maoni ya kuendeleza na kutunza mali asili. Unfortunately these are endangered species. Ni nadra siku hizi kumpata wa ukubwa huo
Hakuna nyoka anayekimbiza watu huyo nyoka hayupo duniani labda kwa baadae nyoka wa aina hio atokee .

Mamba kama walivyo nyoka wengine hawapendi usumbufu wakiona unafanya approach kuwasogelea hujiondokea zao

Nyoka mbaya na hatari ni yule hujamuona ukapita jirani yake hapo atafanya striking kama defensive mechanism ila kuhusu kukimbiza hayupo nyoka wa aina hio duniani.
 
Cha kufanya baada ya kupokea last warning kutoka kwa muheshimiwa Blackmamba, kumbuka wakati huu mtakuwa mmetenganishwa umbali wa either mita mbili au tatu..

1- Usithubutu kuinama kuokota chochote kwa lengo la kumshambulia.

2- Kama unafimbo na hunahakika na shambulio lako endelea kujikausha huku ukiomba sana dua.

3- Huku ukimuangalia kwa makini kwa utulivu kabisa rudi nyuma taratibu kuongeza umbali baina yako na muheshimiwa.

Ukionesha nidhamu kwa hatua hizo tatu juu, unaweza kutoka salama..!!! hapo sasa nenda dukani, kanunue soda baridi sana uipendayo na ujipooze maana mpaka kufikia hapo utakuwa umesweat vya kutosha sana!!!
Njia ulizotoa sio sahihi black mamba unamkamata nipe fimbo nakukamatia mamba bila kumjeruhi wala kumuua

Mamba akikuona unamfuata anasepa zake ila ukimziba na hana sehemu ya kutoka atarudisha shingo,kichwa nyuma akisubiri umsogelee mita 2 akudonoe only way kaa mita 5 ukiwa na upinde wa fimbo unamkamata

Mamba mbaya ni yule hujamuona ukapita karibu yake bali na hivyo si tishio
 
Niliwahi kuskia nyoka wakigombana na mmoja kuuwawa! Mwenzie anakwenda kuchuma dawa na kumuekea mwenzie..kama binadamu utafanikiwa kuiona dawa basi ni dawa nzuri mno kwa mtu alie umwa na nyoka ..ila nyoka akikuona akiwa anachuma umekwisha..
 
Back
Top Bottom