imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,405
Nitumie videos halafu nitumie na namba ya M-pesa.Huwezi kunipa facts wakati tumeishi nao na kuwakamata ,.
Nitumie videos halafu nitumie na namba ya M-pesa.Huwezi kunipa facts wakati tumeishi nao na kuwakamata ,.
Kwa kuongezea tu, black mamba ni nyoka mtulivu sana ila ukimchokoza ndio utaona balaa lake!!
Kabla hajakushambua atakupa warning kwa kujikunja na kufungua kinywa chake chenye rangi nyeusi, ukiendelea kumsumbua baada ya hiyo warnng kinachofwata hapo ni kifo chako!!
Ukifika hatua hiyo jua una choices mbili tu either umshambulie afe tena bila kumkosa, au ukimkosa basi jua shambulio lake ni moja tu na baada ya hapo unadakika 20 za kusali na kuandika wosia kabla hujafa!!


dk 20 kwa maumivu yake hata kuandika utaweza kweli.Siku hizi wosia unaweza ukaurekodi kwenye simu ya mkononi tu.dk 20 kwa maumivu yake hata kuandika utaweza kweli.
Mkuu kwa sumu ya nyoka hakili inakuwa ishajamu kabisaSiku hizi wosia unaweza ukaurekodi kwenye simu ya mkononi tu.
Ukishajua tayari umeshagongwa na koboko,kifo ni kuanzia dk5 inategemea umegongwa wapi kama ni kifuani karibu na moyo au shingoni na kichwani kifo ni ndani ya dk5mpaka 7 unakuwa hata muda wa kupiga simu na kuwaaga uwapendao huna, lakini ukigongwa kavu (dry bite)kitu ambacho koboko huwa ni nadra sana,basi unaweza ukakaa mahala ukapiga simu likifika lisaa hujaanza kutokwa na jasho kali basi jua umepona.Mkuu kwa sumu ya nyoka hakili inakuwa ishajamu kabisa
Kweli kabisa mkuu, ukikutana na balaa kama hii cha kwanza ni kuangalia miguu kama ina nguvu za kutosha cha pili kutoka nduki huku ukiwa unasali...mambo ya wataalam utayakumbuka ukisalimika!!View attachment 724115
Koboko aliyekomaa ni nyoka hatari duniani,walla usisikilize sijui wataalam wewe ukiona kitu saizi hii wewe kimbia
Hahaa😀 huyo koboko amekomaa akiamua kukukimbiza huchukui raundi.Kweli kabisa mkuu, ukikutana na balaa kama hii cha kwanza ni kuangalia miguu kama ina nguvu za kutosha cha pili kutoka nduki huku ukiwa unasali...mambo ya wataalam utayakumbuka ukisalimika!!
Sasa mkuu kama nikikutana nae uso kwa uso ananimaliza, ni njia gan za kijikinga mkikutana uso kwa uso?Siongelei duniani, siongelei tafiti maslahi, naongelea ukweli na uhalisia wa Koboko mkubwa kama huyo alieonyeshwa na mdau katika picha. ni uhalisia wa kua nimekaa katika maeneo husika yaliyosheheni nyoka huyo. Unapokua porini ukakutana nae mara nyingi yeye ndio anakua amesogea kutoka huko alipo. Akiona ni binadamu na kama kama kuna kaumbali kiasi ata back off na kuondoka. Lakini mkikutana katika distance fupi uso kwa uso na uanze kukimbia Black mamba hasa wa ukubwa huo niliousema anakukimbiza kwa speed na hauta fikisha hata mita tano atakugonga several time na atakimbia. Anafanya hivo kw amifugo na anafanya hivo kwa binadamu, consult your books again pal
huyo wa size hiyo, anaweza kuuliwa na nguchiro au nyegere ?Mimi hilo pori nalijua sana kuanzia Sikonge mpaka Inyonga sasa kwenye hilo pori koboko waliokomaa ni wengi kuna wengine wanafikisha mita 19 na kuendelea. hahahaa..
Kuku...na auNasikia nyoka wana aibu sana![]()
Mkuu unaufahamu uwanja wa maguniaMiomba ligi yako siyo ya vodacom tena! Imekuwa ligi ya cha ndimu pale uwanja wa magunia!
Nyegere wameshawahi kukutwa wamekufa na ni nani mwingine nguchiro yeye huwa anaangalia size akiona kitu kimekomaa anakimbia.huyo wa size hiyo, anaweza kuuliwa na nguchiro au nyegere ?
Swila huyo!mweusiiiiiii tiiiiiiiiii.