Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Asee leo nimekutana naye live maeneo ya mpwapwa mida ya saa saba mchana nikiwa mashambani kwenye pikipiki, ilibidi kupiga brake za ghafla kumpisha apite na alikua anatembea majestically..urefu wake ulikuwa kama 1.5m hivi..daah akanipa mawenge siku yangu shambani..kiumbe wa hatari sana maana jana tu kaua kijana
 
Hapo bado kuna mjadala, hivi king aliyekomaa akikutana na koboko aliyekomaa sijui itakuwaje.
King cobra hasumbuliwi na nyoka mwingine zaidi ya cobra mwenzake ambae utakuta wanagombea himaya lkn hawa wengine wanatafunwa kama uchafu hasa huyo koboko ndo mchumba kabisa aisee
 
King cobra hasumbuliwi na nyoka mwingine zaidi ya cobra mwenzake ambae utakuta wanagombea himaya lkn hawa wengine wanatafunwa kama uchafu hasa huyo koboko ndo mchumba kabisa aisee[/ king cobra anakula nyoka wadogo wadogo mamba aliyekomaa awezi kumsogelea
 
King cobra hasumbuliwi na nyoka mwingine zaidi ya cobra mwenzake ambae utakuta wanagombea himaya lkn hawa wengine wanatafunwa kama uchafu hasa huyo koboko ndo mchumba kabisa aisee

Mamba aliyekomaa mkubwa King cobla hawezi kumsogelea kumbuka king cobra anakula nyoka wadogo tena kwa kuwavizia
 
Hawa ndiyo wale wanaopenda kuishi kwenye miti?
Kama ni hao basi walinisamehe tu maana kuna siku aliingia ndani nikamuua bila kusababisha madhara kwangu. ila siku nyingine aliingia ndani nikamsaka nikamkosa, nikaamua kuacha mlango wazi na kukaa mbali. baada ya muda nilimuona anatoka nje mwenyewe. Sikuona ukorofi wao. Kuhusu kuwa na sumu kali, mi sijui.
Hao wanaitwa Spotted bush snake!! wanakua na rangi ya kijani lakin na vidoa doa vyeusi hawa HAWANA SUMU ukitaka kumtofautisha na GREEN MAMBA huyu yeye hana madoa meusi huyu yupo tupical Kijani ni hatari sana ILA hao wajuu ambao ni wana madoa meusi wao wanapenda sana kuwinda wadudu na vijichura vidogo hawana shida
 
View attachment 724186
Koboko aliyekomaa kama huyu hana mpinzani huwa analaza kundi la ng'ombe,sasa wataalam wanakuambia eti huwa akikuona anakimbia...wataalam wengi walishakufa sasa wanataka na sisi raia wema tuwafuate huko waliko.
Koboko (black mamba) huyu yeye kama akiingia katika makazi ya watu kama mji/mitaa/hostel huwa mpole na hujificha kwa kujilinda na tahadhari hapo anakua hana uwezo wa kukimbiza mtu wala nin ila hujificha na kujilinda as defensive mechanism!!! alaf kitu kingine huyu Koboko yeye atemi sumu(spitting venom) bali hungata(bite) ndo maana watalaam wanamuhofia sana Cobra maana yule anauwezo wa kutema sumu mfululizo bila kukata na sumu iyo kuleta madhara!!!!
 
King cobra ameitwa king sababu hio anawala cobra wenzie na nyoka wengine wenye sumu halafu king anakuwa na ukubwa kuliko nyoka wengine wote ..,puffadder na nyoka wengineo wapo kwenye diet ya king cobra

Koboko na king wapo mazingira tofauti hivyo hawawezi kukutana lakini youtube kuna video kadhaa ikionyesha king akimla koboko mkubwa wakiwa kwenye farm.
Unajua hawa nyoka wawili MAMBA'S NA COBRA wanatofautia vitu vingi...
1/SPEED...mamba's wana speed ni moja kati ya the fastest snake in the world..huku Cobra hana spees ya kuwazid awa mamba's(balck and green)

2/SUMU...Mamba's sumu yao ni kali kuliko Cobra

3/SPITTING..Mamba's wao hawatemi sumu wanaintroduce sumu kwa kung'ata ila Cobra wao wanauwezo wa kutema sumu mpaka umbali wa mita 5-10 hii sifa ya kutema sumu inamfanya Cobra kuogopewa sana maana akitema ile sumu ikifika machoni basi husababisha hupofu ata kwa mnyama sio binadamu tu

4/SIZE...hapa sasa a full grown Mamba'(s) is bigger than a full grown cobra.
5/ AGGRESSIVENESS...hawa mambas ndio nyoka mwenye hasira na vurugu kuliko nyoka wengine yoyote ivyo apa cobra anasuburi

Finally...Nyoka jamii ya Mambas ni hatari sana kuliko cobra ingawaje hawa cobra ndio nyoka walio karibu sana na makazi ya watu...
Pia Mambas au Koboko hawa wana aina flani ya Aibu ndo maana hawapendi makazi ya binadamu wanapenda kuish mbali na binadamu
 
Hakuna koboko huyo duniani


Ni simba ,chui,nyati,kiboko wanaokimbiza watu na wanyama wengine kama faru

Koboko akikuona unamfuata anaondoka zake hata ukimkaribita mita 4 atajirudi nyuma akijitayarisha kukugonga na hapo hapo anatafuta njia ya kusepa ,na atafanya juu chini aku avoid utamuona anakimbia ukimfuata kushoto anaenda kulia ila akiwa stand by

Koboko akikasirika anakukimbiza narudia tena hakuna koboko huyo ,koboko uliyemuona ndio mzuri kuliko koboko usiyemuona
Nikiwa nasoma urambo kijiji ki1 kinaitwa songambele, niliwahi shuhudia ng'ombe kama 20 wameuwawa na koboko kwa muda huo huo, hapo ndipo nilipoona msukuma akilia kilio ambacho sijapata ona binadamu akilia vile, manake alishangaa kuona mifugo yake inadondoka tu, anakuja muona koboko keshafanya yake, akasepa kama mwanga wa radi, nikasema kweli huyu nyoka ni hatari aisee
 
Hii picha sio kweli

Huyo simba alikuwa amekufa "mzoga" mamba anatembea zake kuona mzoga akanusa kisha akagonga
Mkuu mie ni shuhuda, nilishawahi kuona clip hii kwenye nat geo wild channel, huyo katoa fupi tu, ni kweli ile anamng'ata hasa, na simba anakija onyeshwa keshakufa. Nenda youtube ipo ingawa mie nikina kwenye hiyo channel kama documentary
 
View attachment 724339
Ladysmith black mambazo, hii ni bendi ya muziki inayomuhusudu koboko.huko Afrika kusini.
Sio huko tu hata hapa nyumban tanzania ndani ya JWTZ kuna kikosi maalumu( Special force) Kinaitwa BLACK MAMBA( KOBOKO) ndicho kilichowezesha kumuondoa Idd Amin na majeshi yake TZ na UG...na Pia ndicho kilichoongoza mapigano ya kukiondoa kikundi naweza kukiita cha wahauni (M23) huko Congo chini ya mwanaume Maj gen Mwakibolwa!!!
 
Sio huko tu hata hapa nyumban tanzania ndani ya JWTZ kuna kikosi maalumu( Special force) Kinaitwa BLACK MAMBA( KOBOKO) ndicho kilichowezesha kumuondoa Idd Amin na majeshi yake TZ na UG...na Pia ndicho kilichoongoza mapigano ya kukiondoa kikundi naweza kukiita cha wahauni (M23) huko Congo chini ya mwanaume Maj gen Mwakibolwa!!!
by the time alikua ni Maj General ila kwa sasa ameshastaafu kwa cheo cha luten General!!! huyu alikua mwanaume haswaaa
 
King cobra hasumbuliwi na nyoka mwingine zaidi ya cobra mwenzake
Kwa sababu viumbe hivi haviwezi kukutana katika hali ya kawaida na wanaishi mbali mbali king anaishi asia ya kuanzia bara hindi kwenda mashariki,na koboko anaishi kuanzia Ethiopia kushuka chini mpaka sauzi,ila kama wakipambanishwa kwenye ulingo kati yao na koboko anatakiwa awe amekomaa kwelikweli woote wanaweza kufa kwa sumu zao.
 
Hapa tunaona king cobra kaingia choo cha kike,alijaribu kumla sawaka mdogo,akamgonga nyuma ya kichwa,chatu nae akamyonga wote wakafa chatu alikufa kwa sumu kali na cobra naee alikufa kwa kukosa hewa.
 

Attachments

  • hiB4HyHl.jpg
    hiB4HyHl.jpg
    55 KB · Views: 51
Back
Top Bottom