undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,012
Nyie mnadanganyana bila fact kama unaishi mbeya nakukaribisha kwenye farm halafu mamba 3 tunawaweka halafu tuone kama atakimbiza MTUHapana ninakukatalia....mamba anakimbiza hata gari sembuse binadamu...it is the most aggressive snake of all
Mamba ni aggressive 1 by 1 mmekaribiana na aggression yake anakaa huku robo ya mwili wake ameweka nyuma kwa timing umkaribia agonge kidogo ungesema cobra ningekuelewa maana cobra ukimsumbua anakufuata kwa njia ya zigzag na atakufuata kwa mita 10-15 na hapo wkt anakufuata unasogea nyuma kwa wanaokamata nyoka wanajua mambo haya ila mamba hana tabia ya kukufuata yy anatulia huku akisogeza Shingo lake anakuvizia hakuna mamba anayekimbiza watu ..fact
.