Siongelei duniani, siongelei tafiti maslahi, naongelea ukweli na uhalisia wa Koboko mkubwa kama huyo alieonyeshwa na mdau katika picha. ni uhalisia wa kua nimekaa katika maeneo husika yaliyosheheni nyoka huyo. Unapokua porini ukakutana nae mara nyingi yeye ndio anakua amesogea kutoka huko alipo. Akiona ni binadamu na kama kama kuna kaumbali kiasi ata back off na kuondoka. Lakini mkikutana katika distance fupi uso kwa uso na uanze kukimbia Black mamba hasa wa ukubwa huo niliousema anakukimbiza kwa speed na hauta fikisha hata mita tano atakugonga several time na atakimbia. Anafanya hivo kw amifugo na anafanya hivo kwa binadamu, consult your books again pal