Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

Wafahamu nyoka hatari Zaidi duniani

BLACK MAMBA AU KOBOKO WANAPATIKANA KWA WINGI MKOA WA TABORA WANA KULA BANGI HATARI

Mkuu kumbe ndio maana makauzu sana hawa vijana, wakati niko mdogo nilikuwa na kawaida ya kukamata nyoka na kwenda kuuza sehemu flani hivi, nilikuwa nakutana na cobra hata wiwili mpaka watatu kwa siku, hao nilikuwa siwashobokei, akipita kulia napita kushoto, ila kuna siku nilikutana na huyo mvuta bhangi sasa BLACK MAMBA cjui, mi kila nikitaka nipite zangu kushoto kuyu khabith anantolea macho
 
Kwa kuongezea tu, black mamba ni nyoka mtulivu sana ila ukimchokoza ndio utaona balaa lake!!

Kabla hajakushambua atakupa warning kwa kujikunja na kufungua kinywa chake chenye rangi nyeusi, ukiendelea kumsumbua baada ya hiyo warnng kinachofwata hapo ni kifo chako!!

Ukifika hatua hiyo jua una choices mbili tu either umshambulie afe tena bila kumkosa, au ukimkosa basi jua shambulio lake ni moja tu na baada ya hapo unadakika 20 za kusali na kuandika wosia kabla hujafa!!
Black mamba always ni aggressive in nature sio mpaka umsumbue
 
ahahaha , ilikubidi uamini tu mkuu. sikonge kule wapo wengi maana kuna misitu misitu mingi tena mikubwa huko kuna mzee wangu walikuwaga wanakwenda kuwinda

Mkuu mleta hii thread kwakweli umenikumbusha mbaaali sana. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimevaa IRIZI shingoni pale Tabora wilaya moja inaitwa SIKONGE. Hakika sitosahau huyu nyoka anayeitwa KOBOKO(MAMBERS). Nilifika pale kufanya tafiti maalum hivyo ilinilzimu kufika hadi maeneo yasiyofikika kirahisi. Baada ya kuripoti kwa m/kiti wa kijiji nikapokelewa vizur tuu ila nilipomwambia sehemu ninazohitaj kufika alishtuka na kushika kichwa baadae akanambia ngoja nimuite mtaalamu mmoja aje ili twende nae. Kwa bahat mbaya sana hilo pori hatari linaloogopwa ndipo kuna hawa wadudu na hakuna njia ya gari hvyo ni lazma kupita kwa mguu. Basi mtaalamu tuliekuwa tunamsubiria akafika akiwa na kabegi kadogo cha ngozi ubavuni kwake. Heee,si alivyokafunua hivi akatoa nyeusi NNE(4)!!!? Akasema kila mmoja avae thn twende tuanze kazi,yan mimi 1,dereva wangu 1 na wenyewe moja moja. Mimi nikagoma nikasema tapita hivyohvyo huko porini mana hvyo vitu siviamini. Na dereva alivyojua kuwa kule gari halipiti akasema yeye hatoenda porini maana inabd alinde gar akat sisi tunaingia porini.Asee,NLIKUWA NIKITEMBEA KAMA HATUA 15 HADI 20 haijulikani wanatokea wapi wale wadudu(tuliambiwa tusiwaite koboko tuseme mdudu) unamuonea hapa tit4tat. Ile hali ilitokea mara nne maana mbele alitangulia mganga,thn mwenyekit na mimi ndo nlikuwa nyuma kabisa. Nkaona mara ya tano atanivaa bure ikabid NIMUITE YULE MGANGA TENA KWA UPOLE WA HALI YA JUU. NIKAMUOMBA HIRIZI MOJA NA MM NIVAE. Hyo nadhan ndo ilikua ponea yangu kwa vitu nlivyokutana navyo pale baada ya kuvaa hyo kitu.
 
Kuna nyoka wa huku chini nae ni hatari sana japo watu wanapenda kumtumia. Hili ndio joka hatari zaidi duniani.

Kama kuna mwenye picha yake anisaidie kuweka mie nimeshindwa tafadhali.

Ni Hatari Sana.

Ahsante.
Unajua bwana watanzania mm ndio maana nasema kuanzia baba jesca mpaka wananchi wake ni cosby....yaan tukijikita kwenye vichekesho tutaongoza hapa dunian na kuingizia taufa ma bilion.....hapatakuwa na haja ya viwanda....sasa hebu ona ninini hii kama sio kuvunja tu watu mbavu wale ambao hawajaenda jumapili ya matawi
 
jasho halikukutoka kweli ?

mie nimeisha kutuna nao mala mbili aisee, na nilikua naishi around na makazi yao huko tabora

Mkuu kumbe ndio maana makauzu sana hawa vijana, wakati niko mdogo nilikuwa na kawaida ya kukamata nyoka na kwenda kuuza sehemu flani hivi, nilikuwa nakutana na cobra hata wiwili mpaka watatu kwa siku, hao nilikuwa siwashobokei, akipita kulia napita kushoto, ila kuna siku nilikutana na huyo mvuta bhangi sasa BLACK MAMBA cjui, mi kila nikitaka nipite zangu kushoto kuyu khabith anantolea macho
 
ahahahah.... sikonge napafahamu huko, pia kule tulikua tunafukizia watoto wa kiarabu koko, maana ni wengi alafu njaa, ila ni wachawi sijui niwaite washirikina... ikitokea ukaenda sasa ivi utafanyaje ?

Ku
kumbe unaifahamu sikonge ee.. Acha kabisa na wala sitokuja vaa tena hirizi katika maisha yangu ni vile tu sikuwa na jinsi
 
kweli kabisa, ila kule kuna watalaamu sana wa nyoka, nakumbuka kuna mazee yalikua maganga, yanpiga vingoma vyao nyoka wote walikua wana fika ila kwa koboko ndio ilikua mbinde ku attend, alikua anaweza kuja eneo ila hasogei anakaa kwa mbalii... pia nafikiri kwa sasa ivi wanaweza kuwa wamepungua kutokana na shughuli nyingi za kibinadamu kusogea kwenye misitu ya asiri

Mimi hilo pori nalijua sana kuanzia Sikonge mpaka Inyonga sasa kwenye hilo pori koboko waliokomaa ni wengi kuna wengine wanafikisha mita 19 na kuendelea. hahahaa..
 
Huyu ni nyoka mwenye hadithi nyingi sana na anaegopwa kuliko wote kwa sababu tofauti na nyoka wengine ambao hujihami, Black Mamba hua anashambulia. kwa Tanzania nyoka hawa wapo sana katika mapori ya Tabora na Mwanza na jina lake la asili ni Koboko. Siku zote nasema nyoka huyu angekua anapatika ulaya wazungu wangempa promo sana ila sisi waswahili tunawaua sana kiasi ambacho sasa hivi ni nadra kumpata Black Mamba mwenye ukubwa wa chatu mkubwa
Mkuu wapo arusha eneo moja wanaliita snakes park kila aina ipo pale
 
4. TAIPAN

Nyoka huyu anaeshikilia nafasi ya nne anaptaikana nchini Australia, ana sumu kali iliyo na uwezo wa kuua nguruwe wa guinea 12,000, pia katika ung'ataji wake husababisha kifo ndani ya lisaa limoja.

Mjomba, mbona tafsiri yako ni ya neno kwa neno? Sidhani kama guinea pig kiswahili chake ni nguruwe wa guinea.

Anyway, makala ni nzuri inayoelimisha.
 
Taipan na desert viper ni hatari.pia king cobra wa kuogopwa!jana nilikuwa naangalia documentary ya anaconda nilishangaa sana wale nyoka wanafanya mapenzi kwa wiki nne bila kuachiana.wamenatana tu huku dudu zao zipo ndani.ni shida
Itabidi na sisi binadamu tufuate mfumo huo ni mzuri sana...
 
ahahahah.... sikonge napafahamu huko, pia kule tulikua tunafukizia watoto wa kiarabu koko, maana ni wengi alafu njaa, ila ni wachawi sijui niwaite washirikina... ikitokea ukaenda sasa ivi utafanyaje ?
Mwaka jana mwezi wa 9 nlienda tena ili nlikuwa km supervsr so ckutaka pita sehemu inapori mkuu
 
Kuna mmasai aling'atwa na nyoka aina ya krait na taipan kwa wakati mmoja na hajafa alichokifanya alikula ugoro kwanza akaenda porini akachukua majani akasaga akajipaka eneo alilong'atwa na mpaka Leo yupo hai mmasai wa watu.
 
Back
Top Bottom