Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,745
- 12,126
Nzoka y'ihenge amepigwa chini!Bariadi kwa nyoka wa makengeza mambo yameendaje?
Nzoka y'ihenge amepigwa chini!Bariadi kwa nyoka wa makengeza mambo yameendaje?
Sasa nimeelewa Inaelekea jiwe ndiye alieanzisha neno WAJUMBE SIO WATUHi ikoje na waliochaguliwa na wajumbe wanaenda wapi?
Mbatia kachomekea fuso kwa mbele,hapiti hata mwenyewe anajuaVunjo ni kwa Mbatia. Hivyo si rahisi Kimei kushinda jimbo hilo.
Actually, kitendo cha kutoa Masele, ni uonevu wa hali ya juu. Labda ni Ule ugomvi wake na Ndugai. Masele looks to be a more leadership material.Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Masele lazima ana kinyongo.
Kuna umuhimu wowote wa kuendesha zeozi la kura za maoni kwa wagombea ubunge ccm?
Why Gwaji
Why Shigongo
Why Mwambe
Why Kimei
Why Katani
Kwanini!!!????
Chauma ndo kitu gani???Sigongo unamuonea mkuu alipata kura sawa na mtetea kiti chake,nadhani ikaone mbunge mtetea kiti katumia rushwa hakubaliki kuliko shigongo
Ndo kapewa haki yake
Njoo wewe na chauma yako uchuane naye
Naye kakaa bungeni mda mrefu acha Apumzike, Ila alikuwa smart Sana Ila kwa kuibia nchiNzoka y'ihenge amepigwa chini!
Yeye si ameokoka na Ni mtumishi wa Mungu kwanini atoe rushwa na Ni dhambi, kwa mtindo basi kuona langu la mbingu wataenda hata machangu wallahNiamini mimi mkuu kama kuna watu waliotoa rushwa Kawe basi Askofu katoa hela nyingi kuliko wagombea wote nilikuwa karibu sana kwenye huu mchakato
Arudi chuo kikuu wakampopoe maweMwakyembe?
Unaongelea Shinyanga mjini ipi,masele na gaki hawatakiwi kabisa tena huyo masele ndio ovyo kabisa bora kidogo huyo gaki.Gaki angeenda kugombea kwao moshi kwa huku shy bado sanaJimbo la Muheza, CHadema na ACT mkiunganisha nguvu mnachukua asubuhi kabisa...kunakwenda kutokea kura za hasira...
Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima
Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)
Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde
Manyara
Jimbo la Babati Mjini
- Pauline Gekul
Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo
- Charles Kimei
Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi
Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe
Geita
Jimbo la Busanda
- Tumaini Braison Magesa
Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato
Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda
Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze
Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo
Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini
- Jonas Mbunda
Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid
Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange
Tabora
Jimbo la Kaliua
- Aloyce Kwezi
Shinyanga
Jimbo la Kishapu
- Boniface Butondo
Lindi
Jimbo la Liwale
- Zuberi Kuchauka
Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja: Morogoro
Jimbo la Mlimba
- Godwin Kunambi
Mwanza
Jimbo la Buchosa
- Erick Shigongo
Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege
= Orodha zaidi inakujia hivi punde =
KUJUA ORODHA YA JUMLA YA WAGOMBEA KATIKA MAJIMBO YOTE SOMA HAPA:
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Unaharakia wapi mkuu?Na hii ni kutokana na uonevu aliofanyiwa wa wazi wazi kwa kukatwa majina yetu baada ya kuibuka washindi kura za maoni za Chama cha Mapinduzi lakini chama hicho kimetukata na kuteua watu wengine. Sasa wamechoka mziga nyuki wote tuliokatwa majina yetu tusikubali bora tuuze rama ya vita kwa maadui ili tukose wote hakuna mwenye hati miliki ya ccm tukutane kwenye Kampeni Chadema jiandae kuchukua Nchi.