Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Hata mimi nimeshangaa sana kura za maoni zilihesabiwsa hadharani, mbele ya luninga na washindi wakapatikana live, leo unakuja kumkata na kumuengua mshindi unampachika aliyeshindwa! Mbaya zaidi kuna wengine waliorudishwa hata nafasi ya pili iliwakimbia! Pia sjajua kigezo hasa ni kipi maana kama kigezo ni rushwa , wapo waliotoa Rushwa na wakalalamikiwa lakini wamepitishwa!
Ushauri wangu ndugu zangu wanaCCM ambao mmekipigania chama hicho miaka kibao na kujiandaa kwa gharama za kiuchumi na kuutoa pia muda wenu, leo unatimiza ndoto yako ya kushinda, unakatwa kisha nafasi anapewa mamluki hata miezi 6 ndani ya CCM bado hajatimiza! Sasa chakufanya msianze kuhama wala kutoa matamko, bali shugulikeni mkiwa ndani humohumo, waelewesheni wanachama wengine wote uonevu uliofanyika kisha , waungeni mkono wapinzani kwa kuwapa kura zenu huku mkiwapa pia plani ya vita inayosukwa na CCM kuelekea uchaguzi mkuu!
Kama issue ya Patrobas Katambi inahuzunisha sana. Nafasi ya nne huko!!!!!!!

Tusikubali wajameni
 
Duh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
Jina langu limekatwa na kikundi cha watu wanajiona wa ndio ccm ngoja tutaona matoke yake wengine sio waongeaji sana mimi ni mtu wa vitendo na nimwana ccm kitambo
 
Tuseme ukabila umembeba askofu Gwajima,?nauliza kwasababu hakuwa mshindi wa pili,walio mzidi kwa kura wameondolewa kwa kigezo gani?ukisema rushwa nitakukatalia kwa kuwa wapo walio kamatwa live na waliotoa rushwa waziwazi majina yao yamerudi,Sasa kwa Nini Kawe au ndio usukuma?
Akili yako ndo imeishia hapo mkuu yaani imefunikwa na kutandwa na wingu la ukabila tu hauna hoja ingine.
 
Shinyanga Mjini hilo jimbo Chadema washindwe wenyewe, huyo Katambi 2015 alijaribu hapo Shinyanga akiwa CDM akakosa, naamini yule Masele lazima ana kinyongo.
Alikosa kwa kura ngapi mkuu. Chache sana.
 
Unamkata muadilifu kisha unampa nafasi mtu uliyemuita lijizi, lisaliti hii ni ajabu sana. Inaonekana kwako wewe ni ilimradi fedha iingie na siyo thamani ya utu. Kweli ilitegemea ulivyoamka!
 
Hata mimi nimeshangaa sana kura za maoni zilihesabiwsa hadharani, mbele ya luninga na washindi wakapatikana live, leo unakuja kumkata na kumuengua mshindi unampachika aliyeshindwa! Mbaya zaidi kuna wengine waliorudishwa hata nafasi ya pili iliwakimbia! Pia sjajua kigezo hasa ni kipi maana kama kigezo ni rushwa , wapo waliotoa Rushwa na wakalalamikiwa lakini wamepitishwa!
Ushauri wangu ndugu zangu wanaCCM ambao mmekipigania chama hicho miaka kibao na kujiandaa kwa gharama za kiuchumi na kuutoa pia muda wenu, leo unatimiza ndoto yako ya kushinda, unakatwa kisha nafasi anapewa mamluki hata miezi 6 ndani ya CCM bado hajatimiza! Sasa chakufanya msianze kuhama wala kutoa matamko, bali shugulikeni mkiwa ndani humohumo, waelewesheni wanachama wengine wote uonevu uliofanyika kisha , waungeni mkono wapinzani kwa kuwapa kura zenu huku mkiwapa pia plani ya vita inayosukwa na CCM kuelekea uchaguzi mkuu!
Wadanganye tu.
 
Jina langu limekatwa na kikundi cha watu wanajiona wa ndio ccm ngoja tutaona matoke yake wengine sio waongeaji sana mimi ni mtu wa vitendo na nimwana ccm kitambo
Najimboni kwako ccm inashinda jimboni kwako.
Kama unaupepo nenda act au cdm kama utashinda.
 
Hiii wee nini
asiekubali kushindwa si mshindani Bro
Acheni kuwa obsessed na siasa haya ndo madhara sasa
Mbona tumeshinda vizuri tunakubalika kwenye majimbo yetu wajumbe wametupigia kura tumeshinda vizuri kikundi cha watu wachate wakakata majina yetu tukiuza rama tumekosea?
 
Najimboni kwako ccm inashinda jimboni kwako.
Kama unaupepo nenda act au cdm kama utashinda.
Kufanya nini ACT mimi mwana ccm kitambo hata kabla ujazaliwa tulia tungoje majibu ya uchaguzi huu
 
Duh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
Tuolikatwa majini tusindoke kwenye chama letu la mizengwe tubaki bila password kisha tuone mwisho wake siwanajifanya wanjanja muda utaongea.
 
Back
Top Bottom