100% piga CCM oyee, pasiwedi unaijua weweTuolikatwa majini tusindoke kwenye chama letu la mizengwe tubaki bila password kisha tuone mwisho wake siwanajifanya wanjanja muda utaongea.
Mkijenge kwani kilibomokaMwana ccm mwenzangu 2lia 2kijenge chama acha hasira
Mbinu zote za kupanga motekeo tuzikate tuziwe live hapa jamvini chadema jiandae kuchuku Nchi huu mwaka wenusasa unaongea, haya ndiyo maneno ya mtoto wa kiume - mtoto wa kiume huwa halii lii - ni mtu wa Action.
Karibu mezani, mwaga michoro!!
Hivi mnatuonaje sisi wa vunjo?
Watu wachache ndio mzizi wa chama chenuMbona tumeshinda vizuri tunakubalika kwenye majimbo yetu wajumbe wametupigia kura tumeshinda vizuri kikundi cha watu wachate wakakata majina yetu tukiuza rama tumekosea?
Mimi pamoja na wenzangu tumeumizwa sana hatumuachi Munga hili liko ndani ya uwezo wetuWatu wachache ndio mzizi wa chama chenu
Ukikatwa katika bro usipanic sana
Mambo mengine muachieni Mungu Duniani kuna kupata na kukosa
Mjumbe/Mwenyekiti
Tutauza tena kwa bei poa tukikosa wakuwauzia tutagawa bure ramani tukose wote huu jingaAlifanya Lowassa na alichemka ,itakuja kuwa nyie vinyamkera ,uzeni tu ramani ya vita
Mnaleta mchezo wa mawe wakati mnaishi kwenye nyumba za viookukosa mtakosa peke yenu, hakuna msamiati wa kukosa wote.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Sio lazima Kimei na Mwinjuma kushinda ila wanaweza kushinda......Kimei ana mlima wa kupanda yupo Mbatia na ndoto za kuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni na NCCR YAKE!Yes naungana na wewe mwaFA na Kimei hao lazima watashinda. Ila Gwaji boy na Silinde kwishney mapema
Unanicheka jinalangu limekatwa tuko wengi sana tusikubali kumuachia Mungu kuna madiwa wengi sana pia wamefanyia huu mchezo tusihame chama chetu mwendo wakuu za rama kwa maadui zetuDuh umeniacha hoi kama Kuna watu hawajajua wewe ni mpinzani pure na umeandika mada ili kushawishi waliokatwa wadhani na wewe umekatwa kweli Basi nawapa pole...Ila pambana kwenye siasa Kuna mbinu nyingi
Sio lazima Kimei na Mwinjuma kushinda ila wanaweza kushinda......Kimei ana mlima wa kupanda yupo Mbatia na ndoto za kuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni na NCCR YAKE!