Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
watanzania huwa tunashabikia sana viongozi kutangaza mali zao sasa ili kuonyesha ni jambo jema na sisi wanajamvi tutangaze zetu, tuwe wakweli.
Naanza: Mi nnamiliki kalaptopu ya laki nane, redio ya laki tatu, feni ya elfu hamsini ,shelfu la vitabu kama hamsini nilinunua ubungo bukubuku na kwenye akaunti nina laki nane.
kwa ujumla ninamiliki mali za kama milioni mbili.
haya wanajamvi tiririkeni!
Naanza: Mi nnamiliki kalaptopu ya laki nane, redio ya laki tatu, feni ya elfu hamsini ,shelfu la vitabu kama hamsini nilinunua ubungo bukubuku na kwenye akaunti nina laki nane.
kwa ujumla ninamiliki mali za kama milioni mbili.
haya wanajamvi tiririkeni!