Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 600
Mimi ninamiliki vifuatavyo:-
1. Najimiliki mimi mwenyewe (Sourse.. niliumbwa na Mungu)
2. Nammiliki partner wangu wa maisha na mzazi mwenzangu (sourse.. tulikutana ujanani then married)
3. Namiliki mtoto mmoja wa kike(very beatful 1) na mwingine mtarajiwa (source... wote mnajua)
CAG nikague
Hizi ni mali pekee nilizonazo.
1. Najimiliki mimi mwenyewe (Sourse.. niliumbwa na Mungu)
2. Nammiliki partner wangu wa maisha na mzazi mwenzangu (sourse.. tulikutana ujanani then married)
3. Namiliki mtoto mmoja wa kike(very beatful 1) na mwingine mtarajiwa (source... wote mnajua)
CAG nikague
Hizi ni mali pekee nilizonazo.