Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,545
- 11,095
Mungu ibariki afrika ,afrika ni moja, tupige vita ubaguzi, na kuonyesha hilo tushabikie timu zote zinapocheza na taifa stars. tupo pamoja mkuuMimi ambacho hufanya kila muda taifa stars wanavyo cheza hushabikia timu pinzani bahati nzuri hazijaniangusha na nimekuwa na furaha sana. Pia kama ni mwana Yanga mwenzangu unaweza ukashabikia Mali Africa ni moja