Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

Nakua inspired sana na vijana wadogo wanaoongoza vitu vikubwa huyu jamaa ni genious sio rahisi kubeba pesa za wabongo nyingi hivyo aisee huyu jamaa soon atakuja kuwa bilionea nyie subirini mtaona. Piga pesa mkuu wabongo wengi ni mambulula


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kuiba hakuna u-genious bali kuna roho ngumu, roho ya ubinafsi na roho mbaya. Ni watu wengi wenye uwezo wa kubuni njia kali za upigaji fedha lakini hawataki kwani roho zao zinawasuta. Hawataki dhuluma.
 
Juzi kuna jamaa yangu kanipigia simu akawa ananieleza vitu sivielewi elewi.

Ni kitu kinaitwa Mr. Kuku Farms akidai ni mradi mkubwa wa ufugaji kuku una physical presence na ni kampuni iliosajiliwa ndio inaendesha huo mradi.

Yeye ameshawishika kuwekeza huko kwamba kuna faida nzuri compared na kuweka hela benki tu ikiwa baada ya miezi 3 unaweza draw 70% ya ulichowekeza na baada ya miezi sita una uwezo wa kuchota 100% ya pesa yako.

Kama tujuavyo kwamba mtu alieng'atwa na nyoka huwa haishi maseke hata anapotambaliwa na jani, basi lazma atarusha miguu tu.

Naomba kwa heshima na taadhima niambiwe na wadau wenzangu wajasiriamali kwa wafanyabiashara. Je, huu mradi ni halisi?

Ni business model gani wanatumia? Na je, kuna hiyo leverage ya kupelekea kutoa gawio kwa rates hizo kwa muda wanaodai wanaweza?

Kama kuna ambaye amepiga hela kupitia hao jamaa aje amwage terms zao na ushuhuda kuwa kapiga dough kweli.
Nothing comes our of nothing. Tahadhari kabla ya hatari!
 
Kwenye kuiba hakuna u-genious bali kuna roho ngumu, roho ya ubinafsi na roho mbaya. Ni watu wengi wenye uwezo wa kubuni njia kali za upigaji fedha lakini hawataki kwani roho zao zinawasuta. Hawataki dhuluma.

Wewe hakuna kitu kigumu kama kutapeli watu sio kila mtu ana akili hio. Wewe unadhani mpaka kuisimamisha io mr kuku mpaka hapo ni mchezo jamaa ni noma kubali ukatae kuwapanga mamilioni ya watanzania wakuamini wakupe pesa zao sio mchezo hio ni level nyingine ya ugenious. Izo roho ngumu sijui ubinafsi ni additional tu qualities ila ya kwanza lazima jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.
Mwingine ni sir jeff aka ONTARIO, hawa vijana wadogo niseme tu ukweli uwezo wao wa kutafta pesa kupitia wabongo mambulula naukubali sana its another level


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hakuna kitu kigumu kama kutapeli watu sio kila mtu ana akili hio. Wewe unadhani mpaka kuisimamisha io mr kuku mpaka hapo ni mchezo jamaa ni noma kubali ukatae kuwapanga mamilioni ya watanzania wakuamini wakupe pesa zao sio mchezo hio ni level nyingine ya ugenious. Izo roho ngumu sijui ubinafsi ni additional tu qualities ila ya kwanza lazima jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.
Mwingine ni sir jeff aka ONTARIO, hawa vijana wadogo niseme tu ukweli uwezo wao wa kutafta pesa kupitia wabongo mambulula naukubali sana its another level


Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakataa kuwa ni wa wajanja sana. Hata ukiona actions zao na knowledge yao ya mambo yanayoendelea duniani ni kubwa sana. Ila nilichosisitiza ni kuwa kuna watu wengine wana huu ujuzi lakini wanasita kufanya hivyo kwa sababu ya roho kuwasuta. Otherwise nakubaliana na wewe kabisa kuwa jamaa wanajua ku-act kulingana na mazingira waliyopo na wanajua mambo mengi yanayoendelea duniani.
 
Sijakataa kuwa ni wa wajanja sana. Hata ukiona actions zao na knowledge yao ya mambo yanayoendelea duniani ni kubwa sana. Ila nilichosisitiza ni kuwa kuna watu wengine wana huu ujuzi lakini wanasita kufanya hivyo kwa sababu ya roho kuwasuta. Otherwise nakubaliana na wewe kabisa kuwa jamaa wanajua ku-act kulingana na mazingira waliyopo na wanajua mambo mengi yanayoendelea duniani.
Hawa Lakini Huwa Wanawapiga Sana Hawa Watu Wenye Pesa Za Kawaida Wanaoamini Kuwa Mafanikio Ya Haraka Sasa Yamefika
 
Wewe hakuna kitu kigumu kama kutapeli watu sio kila mtu ana akili hio. Wewe unadhani mpaka kuisimamisha io mr kuku mpaka hapo ni mchezo jamaa ni noma kubali ukatae kuwapanga mamilioni ya watanzania wakuamini wakupe pesa zao sio mchezo hio ni level nyingine ya ugenious. Izo roho ngumu sijui ubinafsi ni additional tu qualities ila ya kwanza lazima jamaa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria.
Mwingine ni sir jeff aka ONTARIO, hawa vijana wadogo niseme tu ukweli uwezo wao wa kutafta pesa kupitia wabongo mambulula naukubali sana its another level


Sent using Jamii Forums mobile app
Ntafanya juu chini siku moja mje kunizungumzia kama ONTARIO wabongo wengi wanapenda utajiri wa fasta. Lazma nibuni mradi!
 
Waoni
Mama yangu aliniambia nimtumie hela anataka kufanya mradi wa kuku bila kufuga.nilishangaa nikamdodosa kwa kina naye anajiuma uma tu. Refer kipeperushi hiko labda nitapata mwangaza maana kaomba dola 500 za Canada.

Naomba mwangaza.

View attachment 1388373

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao ni wauzaji, wafugaji na wanunuzi wa kuku. Halafu wanakuambia wewe utajirike bila kufuga. Hivi hayo yanaingia akilini kweli? Mtu una almasi yako, halafu anakuja jamaa anakwambia hiyo si almasi ni vipande vya chupa. Na kwamba yeye ndo ana almasi na anachukua almasi yako na kukupa vipande vya chupa. Na wewe kama zuzu unaondoka ukichekelea kupata hiyo almasi bandia. Tahadhari kabla ya hatari! Tamaa ya kupata utajiri wa haraka imewaponza wengi.
 
Waoni

Wao ni wauzaji, wafugaji na wanunuzi wa kuku. Halafu wanakuambia wewe utajirike bila kufuga. Hivi hayo yanaingia akilini kweli? Mtu una almasi yako, halafu anakuja jamaa anakwambia hiyo si almasi ni vipande vya chupa. Na kwamba yeye ndo ana almasi na anachukua almasi yako na kukupa vipande vya chupa. Na wewe kama zuzu unaondoka ukichekelea kupata hiyo almasi bandia. Tahadhari kabla ya hatari! Tamaa ya kupata utajiri wa haraka imewaponza wengi.
Haa😀😁😂
Wao Wanawatajirisha Masikini
Yaani Haya Mambo Wakati Mwingine Yamejaa Ukakasi Mno
 
Waoni

Wao ni wauzaji, wafugaji na wanunuzi wa kuku. Halafu wanakuambia wewe utajirike bila kufuga. Hivi hayo yanaingia akilini kweli? Mtu una almasi yako, halafu anakuja jamaa anakwambia hiyo si almasi ni vipande vya chupa. Na kwamba yeye ndo ana almasi na anachukua almasi yako na kukupa vipande vya chupa. Na wewe kama zuzu unaondoka ukichekelea kupata hiyo almasi bandia. Tahadhari kabla ya hatari! Tamaa ya kupata utajiri wa haraka imewaponza wengi.
Kenge hasikii hadi masikio yatoke damu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu ebu muwe na mawazo chanya au hoja za msingi, ... tuanzie hapa. Biashara ya ufugaji na kilimo ni biashara nzuri ila zina risk kwny production na sio asset so hao wamewekeza kwny miundombinu ya kufanya huo mladi kwa maana ya vifaa mashamba na wafanyakazi so kinachotokea ni ww unatoa hela yako wanakuuzia vifaranga wanavyozalisha wenyewe na wanavifuga wenyewe apo apo kwao then vikikua wao watauza kuku wakishirikiana na ww ila mtagawana faida. Wao watafaidika katika kukuuzia vifaranga, kukuuzia chakula cha kukuza hao kuku ad wanakua na mwshon wanafaidika ktk faida ya mauzo ya kuku so apo ww unaokolewa gharama za kua na eneo na kujenga mabanda na kulipa wafanyakazi. Instort bajet yako ndio ndio ina cover idadi ya vifaranga na chakula chao ad wakikua na kuuzika


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ukisoma kwenye mtandao kama hivi inaonekana ni rahisi sana ...sasa wekeza uone wanavyotokwa na makamasi namajasho muda wa kugawana faida ukifika......naomba namba zao ili nikawatembelee na kusikiliza fix zao labda nitajifunza kitu
 
Back
Top Bottom