Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Kuna jamaa wanaitwa Mr Kuku Farms, wanasema wanafanya ufugaji wa kuku na wanahkmiza watu kuwekeza kwa ahadi kwamba unavuna mara 2.
Nimeona wamepost na shuhuda mbalimbali motomoto kama zile za kwa mwamposa. Mmoja anasema aliwekeza sh laki 3.5 na anategemea kuvuna 8M.
Swali nalo jiuliza kwanini iwe rahisi kupata fedha kiasi hiki kwa muda mfupi kuliko bank yeyote au soko la hisa?
Napata wasiwasi isije kuwa ni DESI imerudi kiani maana huwezi pata mara 2 kirahisi hivi wakati kuna makampuni yanafuga kuku nanyanapata hasara.
Naomba kwa yeyote anaye jua hawa Mr kukus ni wafugaji kweli wa kuku?
Je, kama kuna mtu amesha fanya nao uwekezaji , atupe ushuhuda wake motomoto?
Je, kwanini kama ni biashara ya uwekezaji wasifanyie soko la hisa DSE?
Serikali ipo wapi kutoa ufafanuzi wa jambo hili walau watu tufuse million kwa myda mfupi.
Kwa wale ambao mnataka kuona shuhuda motomoto tembelea instagram Mr_kukus
Nataka nijitose kwa kuwekeza mil 2 ili zikisha komaa nihune kama mil 80 ndani ya miaka 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
UPDATES 10 August 2020
Mfanyabiashara Tariq Machibya maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za umma zaidi ya Shilingi 17 bilioni. https://t.co/9Ik6wUGj55
Nimeona wamepost na shuhuda mbalimbali motomoto kama zile za kwa mwamposa. Mmoja anasema aliwekeza sh laki 3.5 na anategemea kuvuna 8M.
Swali nalo jiuliza kwanini iwe rahisi kupata fedha kiasi hiki kwa muda mfupi kuliko bank yeyote au soko la hisa?
Napata wasiwasi isije kuwa ni DESI imerudi kiani maana huwezi pata mara 2 kirahisi hivi wakati kuna makampuni yanafuga kuku nanyanapata hasara.
Naomba kwa yeyote anaye jua hawa Mr kukus ni wafugaji kweli wa kuku?
Je, kama kuna mtu amesha fanya nao uwekezaji , atupe ushuhuda wake motomoto?
Je, kwanini kama ni biashara ya uwekezaji wasifanyie soko la hisa DSE?
Serikali ipo wapi kutoa ufafanuzi wa jambo hili walau watu tufuse million kwa myda mfupi.
Kwa wale ambao mnataka kuona shuhuda motomoto tembelea instagram Mr_kukus
Nataka nijitose kwa kuwekeza mil 2 ili zikisha komaa nihune kama mil 80 ndani ya miaka 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
UPDATES 10 August 2020
Mfanyabiashara Tariq Machibya maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za umma zaidi ya Shilingi 17 bilioni. https://t.co/9Ik6wUGj55