Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

Yes inawezekana kabisa in future lazima nifanye hii kitu,watu pesa wanazo ila hawajui wawekeze wapi ukija na idea nzuri utapata watu mpaka ushangae
Nina experience na hizi kampuni na nimetulia nikafanya tafiti za marketing plan zao,zipo ambazo ni legit na nyingine ni utapeli
Hii Mr kuku ni utapeli
Value of your money in exchange of what?kama ukiwekeza laki 7 exchange yake unapewa nini?hakuna pesa rahisi uweke na utulie usubiri ijizalishe nashangaa kwanini watu hawaoni huu ni utapeli
Mwanzoni lazima wawalipe ili kujenga uaminifu baadae wataondoka na hela za watu na hakuna pa kuwapeleka
"Watu wana hela ila hawajui wawekeze wapi?"

Huu msemo mnadanganyana sana tu.

Hakuna mtu mwenye hela asijue pa kuwekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Watu wana hela ila hawajui wawekeze wapi?"

Huu msemo mnadanganyana sana tu.

Hakuna mtu mwenye hela asijue pa kuwekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu Ni ukweli mchungu Kuna watu Wana ela ila hawajajua wawekeze sector gani haswa wanaoshika pesa za wastani kwanzia million 10- 50 hapo wengi hawajui wawekeze katika sector ipi au biashara zipi unajua kwangu Mimi haingii akilini kuchukua million 10 zangu nimpe Mr kuku eti yeye afuge halafu Mimi nifate faida tu kumbuka Kila biashara Ina pande mbili faida na hasara ikitokea mr kuku akapata hasara basi zile million kumi zangu zikawa zimeenda hakuna nitakalo jifunza Ni heri hiyo hela nifungue sehemu yangu mwenyewe nifuge kuku nijionee mwenyewe faida na hasara za uufugaji wa kuku na changamoto zake itaikitokea nimepata hasara ya million yote 10 Nina kuwa nimejifunza kitu na hii ndio tunaita ujasiriamali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
255712602911_status_85f6207ebfb0453d9bbe50a88c994b02.jpg
255712602911_status_869dca4d5ee1475d9f586c1df8814a85.jpg
 
Kwa huu mradi akisema soko lake limeyumba sababu ya Corona... Hivyo kama taasisi wameingia hasara inakuaje? Cause it makes sense
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom