Segito wa Kalenga
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 609
- 855
Jana bi mkubwa kanitumia voice note eti kuna mmoja wa wadau mr.Kuku amewaambia benki kuu wamezuia account za Mr.Kuku hivyo wasihofu pesa zao walizowekeza zipo lakini benki kuu wamezizuia kwa uchunguzi zaidi.Ni bahati huyu ni mzazi wangu.vinginevyo...... acha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app