nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Ngoja ni act kama shetani wa wishes kwenye fairy tale....Done!
Wishing to get a man who is honest!
Wishing to get a man who is honest!
hah hah kwa hizo premises ya 1 na ya 2 tukikonclude tunapata jibu kuwa wahayani ngedere...
Unauhakika!? kumbuka hawa hupenda sana mpango wa kando pia isije ikawa ni gia anatumia kukupata wewe unafikiri anamaanisha..akili za kuambiwa changanya na zako mama..
Mkatae mkubali wahaya (Wa-israel wa TZ) ndo mambo yote na hawa ni baadhi ya WAHAYA waliofanikiwa zaidi
1. KARDINALI RUGAMBWA - Kardinali wa kwanza Mwafrika TZ
2. Prof RWEKAZA MUKANDALA - VC-UDSM
3. SALVA RWEYEMAMU - Ikulu
4. JAMAL MALINZI - TFF
5. PROF. TIBAIJUKA - UN/wizara ya ardhi
Mtajibeba/mtaji.nye.a kwa kuwaonea wivu wahaya (Wa-Israel wa TZ)
Mkatae mkubali wahaya (Wa-israel wa TZ) ndo mambo yote na hawa ni baadhi ya WAHAYA waliofanikiwa zaidi
1. KARDINALI RUGAMBWA - Kardinali wa kwanza Mwafrika TZ
2. Prof RWEKAZA MUKANDALA - VC-UDSM
3. SALVA RWEYEMAMU - Ikulu
4. JAMAL MALINZI - TFF
5. PROF. TIBAIJUKA - UN/wizara ya ardhi
Mtajibeba/mtaji.nye.a kwa kuwaonea wivu wahaya (Wa-Israel wa TZ)
Na hii kupenda kujipambambanua kwa kuonyesha mpo sehemu flani ndo watu wanachowachukia na si kingine, kila kitu kikitokea mnachukua kalamu na kuanza kuweka tick kuonyesha idadi ya wahaya kwenye nafasi mbalimbali na wengine hata akiishi jirani na Profesa kwake ni mafanikio utasema na yeye ni Prof
Unauhakika!? kumbuka hawa hupenda sana mpango wa kando pia isije ikawa ni gia anatumia kukupata wewe unafikiri anamaanisha..akili za kuambiwa changanya na zako mama..
hawezi nipata nishaolewa siku nyiiingiii
Umeongea point...ila na chumvi juu...kwa hiyo wenye waume ambao si wahaya waume zao malaika??si mara kumi muhaya anatoka nje lakini mama Koku anaendelea kupetiwa petiwa mpaka kushtuka kama anaibiwa ienakuwa ngumu...
hawezi nipata nishaolewa siku nyiiingiii
Inaelekea umeguswa sana,namjua he is a friend ila ndio hivyo hawezi nioaSasa wewe umeolewa siku nyiiingi afu unawambia watu wanaobisha ukawaonyeshe huyo mwanaume wa kihaya leo hii ulomkataa tangu 2009 na bado anakutamkia anataka kukuoa mpaka leo hii...something must be wrong somewhere....
Ndio maana nikakutahadharisha asije akakuvunjia ndoa..
Ngoja ni act kama shetani wa wishes kwenye fairy tale....Done!
nafanya kazi huko but I never wish that kwakweli.... hawa watu wasikie tu usiombe ufanye nao kazi wana roho mbaya sana hawa...ofisini wakaka wahayawananitaftia vijisababu kila kukicha.. na hawanipati ng'o.
Sizitaki mbichi hizi...najua kaka zangu wana nyodo...hawasombi hovyo hovyo; lazima uwe na vigezo...kuna msemo huo 'ukila mbwa kula wa kizungu'....
Inaelekea umeguswa sana,namjua he is a friend ila ndio hivyo hawezi nioa
Mimi sijawahi kumla Mwanamke wa kihaya , natafuta mmoja nimpige katerero ya kitutsi (kunyanza)........ any available option huko kwen nyumba kubwa huko kweni?