Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Status
Not open for further replies.
Kwa uhaya wangu sijawahi kukataliwa na msichana yeyote
 
Mimi nawashangaa hawa watoa povu...nina dada yangu huyo alitumia ujana wake ipasavyo (headache kwenye familia) alikuwa analiza watu pindi anapowambia its over

na wote hao wanaoangua vilio hawakuwa wahaya ni banyamahanga...

sasa hawa wanasema wahaya wanadoda naona kama wanaongea kichina...



Kwa uhaya wangu sijawahi kukataliwa na msichana yeyote
 
Duh! yangu macho tu, yaani kumbe Wajaluo wetu Kenya wana wenzao Tanzania kwa misifa.... cc: kadoda11

hahaha mjaluo na mhaya ni kama mtu na cousin yake.kimuonekano na kitabia wanafanana kila kitu.sisi huku tz tumeshawazoea.
 
Last edited by a moderator:
Infwact...ni watamu sana wanawake zao japo in nature ni wachafu na wavivu kwenye mambo ya kimaendeleo ila kitandani juhudi 100%.
 
Hapo nilpopigia mstari sijakupata...kwenye bold karudie research yako...

Infwact...ni watamu sana wanawake zao japo in nature ni wachafu na wavivu kwenye mambo ya kimaendeleo ila kitandani juhudi 100%.
 
Mimi nawashangaa hawa watoa povu...nina dada yangu huyo alitumia ujana wake ipasavyo (headache kwenye familia) alikuwa analiza watu pindi anapowambia its over

na wote hao wanaoangua vilio hawakuwa wahaya ni banyamahanga...

sasa hawa wanasema wahaya wanadoda naona kama wanaongea kichina...

Kaka michaga humu bado inaponda hasa wadada wao kichaga maana hawana nafasi kwa kijana wa kashozi, sababu ya ubabe wao na uhard desire wao, mijidume inaona wivu!
 
Unaweza usiolewe ila akachapa nao, na kuishia. Topic nyingine zimekaa ki desperate mno. Mxiiiiii
 
Mimi sijataja kabila...aahh aaahh..ngoja waje....

Kaka michaga humu bado inaponda hasa wadada wao kichaga maana hawana nafasi kwa kijana wa kashozi, sababu ya ubabe wao na uhard desire wao, mijidume inaona wivu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom