Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Status
Not open for further replies.
Duh sikujua hilo ? Wazee wakaterero mmh bwana weee aya bwana.... ila labda tunakubali kwa kuwa mnapenda sifa ukiambiwa kajenge ukweni fasta tu iliutengeneze popularity aya bana
 
Karibu Kijumo...tubadili hilo jina la u 'miss'...

usikonde hata vogue tutakununulia mradi tusafishe jina ukweni....



Duh sikujua hilo ? Wazee wakaterero mmh bwana weee aya bwana.... ila labda tunakubali kwa kuwa mnapenda sifa ukiambiwa kajenge ukweni fasta tu iliutengeneze popularity aya bana
 
Karibu sana BK..upate mramba, ndizi kwenye mbabi, na senene...tena utakaa kwenye manyasi hata kama nyumba ni ya ghorofa...



Mimi ninaguswa na utamaduni wao kule nyumbani kwao! Hayo mengine sijui kuhusu kate na mengine siyo muhimu ila nenda vijijini uone wanavyoishi! Utafurahi kabisa.
 
imekuwa ni tabia sasa wadada wengi kupendelea kupata mwanaume wa KIHAYA kama mpenzi kisha mume hususan wadada wa kichaga na kinyakyusa, pengine hutupenda sisi wahaya kwa sababu wengi wetu ni wasomi wa hali ya juu, tuna maisha mazuri so hata tunaozaa watakuwa na akili sana na kitandani tupo fit sana maana tunajua kumridhisha mwanamke mpaka kufikia Mshindo (Orgasm) kwa style za ki-asili- KATE.RERO. Wadada karibuni sana KAGERA (HOME OF THE BRAVE)

Je kunamtu hapendi chema vijana wakihaya ndiyo wanaoongoza kwa uzuri wakiume ( handsome) kwa Rangi na maumbile ambayo wadada wengi hutamani kuwanao
Niwanaume wenyeupendo wadhati na hawana michepuko nawako wachache ndiyo maana wadada wao huwa wanajikuta wanatafuta wanaume wengine tatizo huko waendako wanakuta hakuna upendo wanabaki kuhangaika. Ila mkakati nikuongeza watoto wakiume wengi ili wadada wasihangaike tena.
 
Wa kuogelea mto kagera si wengi kihivyo humu....wengi wanataka vitu dry...full kuchubuka kwa mwenye jiumbo lake...

hawawezi vitu fluid...vitu juicy...muwaache tu wenye maumbile yao ndio wanauweza mziki wa mitoto ya kihaya...

or else ndo kuishia kuogelea na kumalizia kwa mkono...na kuja hapa JF kujiliza liza...



Anataka kuogelea mto kagera.
 
Karibu sana BK..upate mramba, ndizi kwenye mbabi, na senene...tena utakaa kwenye manyasi hata kama nyumba ni ya ghorofa...

Mkuu nimekupata ila kitakachonifanya nifike mwezi wa 12 mwaka huu ni hizo SENENE. KAMA mkuu unatokea sehemu za huko basi niagizie nikienda nifikie kwenu angalau nipate zile senene za kweli na sio zile za kununua mitahani. Tafadhari tuwasiliane.
 
Okay...ngoja nikutafutie kaka yangu...tena mwenye PhD 3 toka America...

I like Chaggas bcos they resemble Europeans bhojo....

by the way wahaya tunapenda challenges...

achana na vyasika wengine wanaolia lia humu Chagga this Chagga that...kumbe tatizo wenyewe viwango vyao ni vya chini....

Chaggas need men with confidence...Hayas fit perfectly...



Nakubali kuitwa mama koku tu amana shida
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom