Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,506
Sie tunadeal na wasukuma wetu.....Lol
Ndiooooooooo habareee ya mujiniii
Sie tunadeal na wasukuma wetu.....Lol
Nokia Mujwahuzi,
Samsung Ngemera,
Ringtone Kyaruzi,
Sms Byarugaba,
Whatsapp Byagarama,
Ipad Rwechugula,
Apple Kafanabo,
Charging Mulokozi
Na na na na na!!!
Mkatae mkubali wahaya (Wa-israel wa TZ) ndo mambo yote na hawa ni baadhi ya WAHAYA waliofanikiwa zaidi
1. KARDINALI RUGAMBWA - Kardinali wa kwanza Mwafrika TZ
2. Prof RWEKAZA MUKANDALA - VC-UDSM
3. SALVA RWEYEMAMU - Ikulu
4. JAMAL MALINZI - TFF
5. PROF. TIBAIJUKA - UN/wizara ya ardhi
Mtajibeba/mtaji.nye.a kwa kuwaonea wivu wahaya (Wa-Israel wa TZ)
Kwa misifa yao mie niwapeleke wapi?Yani sijawahi kuwaza hata kudate na muhaya
Hivi wachagga wakianza kujipigia promo hapa nani atawaweza?
Na ndio uzuri wetu sasa...unakuta mume wa kihaya anajivunia kila kitu mpaka mkewe...nani asopenda mume wa hivyo...Kaka zangu wanaongoza kwa ku show malovedave...kama huna habari,,,,na hiyo ndio inawaroga...
This is my lovely wife Mama Koku.....
Mume wa kabila gani atatoa hiyo intro...??????mnalo hilo
Kwa hiyo umeishi na o kanda ya ziwa na kushuhudia wanakosa waume wa kuwaoa....kwangu hii ni news maana sina ndugu aso na mume...
Na ukawalinganisha na dada zako ukaona wao wanapata waume...embu tupe kabila lako kwanza...
Nawakubali sana wahaya wanajali sana wake zao na wanajua sana mapenzi wanaume wengi wanawaita wahaya wahuni kwa vile wananyanganywa sana mademu zao huwezi kushindana na mhaya kwa mwanamke aisee jamaa wanajua sana kubembeleza na hata akimpata demu anamtosheleza ni adimu kuckia mhaya kanyanganywa ila anawaliza wengine. Dada zangu watatu wameolewa na wahaya na mdogo wangu ana ndoto za kuolewa na mhaya.
Point of correction, sijasema wanakosa waume wa kuwaoa.Rejea post yangu ya kwanza, nmesema sijaona msichana analilia kuolewa na mhaya.
Uliona 'wanalilia' kuolewa na nani?...kwani ili mtu aolewe ni mpaka alie?
Yaan kwanza nikijua tu hata mdada ni mhaya hua nakaa nao mbaliii
Mtoa mada kasema imekua ni kawaida kwa wadada wengi kutaka kuwa na mahusiano na wahaya na hatimae ndoa.Nimebisha kwa kusema sijawai ona binti wa ivyo.Na ukweli ndoa huo sijawai ona.
are u sure? nitafute nikuoneshe mkaka wa kihaya ambae mpaka leo hii anatamani kunioa, toka 2009
Wamekaa pembeni wanakusoma humu kimya kimya...
Mbona mnajipigia sana tu ila ishu zenu ni kuiba pesa tu kwenye mapenzi ni sifuri hampo. Ndo maana wanawake hawawataki na mtaendelea kuchapiwa na wahaya.
Naona leo wamekufikisha nyumbani haha haaa