Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

Status
Not open for further replies.
Achana nao kabisa hawa wakiwa makazini ni hatari tupu........

nilikutana nao ofisi moja hapo geita robo zaidi ya asilimia 90 walikuwa wao hapo ofisini , , , , hasa hasa Boss ndiyo alikuwa na roho ya korosho , nikaona isiwe tabu , kwanza kwa taaluma yangu nilikuwa nahitajika sehemu zingine nikasepa zangu.

we acha tu..... sasa nimeajiriwa serikalini nipo wilaya Fulani hivi najuuutaaa kupafahamu...maafisa utumishi wahaya, mkuu wa wilaya muhaya.\, mkurugenzi muhaya,bosi wetu muhaya... kama wee si muhaya utapeleka wapi shida yako isikilizwe kirahisi!!!!!!???? yani mpaka usote lasivo uwe tayari kugawa.....
 
aaaahhhh kajaribu hiyo kitu kwa binti wa kabila nyingine...kwani mpaka muhaya...

au unajua kuwa kwa wengine ukawii kuikimbiza kwenye feni...teh teh teh


katerero na binti alokulia ugali wa kuurumangia unadhani vinaenda...


nikitumia ya kwenu mtasema nimewaaiga......... kumbe ni practice ya kawaida......

sasa, kinaeleweka?
 
aaahh...nyie munajificha au hamna cha kuonyesha...?

Sie hatuna cha kuonyesha aisee maana tunaamini chochote utakachokuwa nacho si kwa sababu wewe ni wa kutoka jamii flani bali inatokana na juhudi zako pia ulitumia fursa vizuri hivyo basi kama mtu atajipambambanua yeye kama yeye hapo namuunga mkono kwa kuwa ni chachu ya kutufanya tuwe kama yeye na si huu utaratibu ambao mwisho wa siku mtu akiwa kwenye nafasi nzuri anaweza akaanza kuwavuta wenzake ili mnyororo alioorodhesha mdau uwe mrefu, btw hawa jamaa nawaelewa sana nilipiga nao sana kazi maeneo ya Karagwe kwa Wanyambo, kuna mazingira ukiwaelewa hawana tatizo kazi zinakwenda ila usipowaelewa kila siku utakuwa upo tofauti
 
we acha tu..... sasa nimeajiriwa serikalini nipo wilaya Fulani hivi najuuutaaa kupafahamu...maafisa utumishi wahaya, mkuu wa wilaya muhaya.\, mkurugenzi muhaya,bosi wetu muhaya... kama wee si muhaya utapeleka wapi shida yako isikilizwe kirahisi!!!!!!???? yani mpaka usote lasivo uwe tayari kugawa.....

ofisi ya namna hiyo kukalika ni shughuli , bora mimi nilisepa mapema kabisa.
 
aaaahhhh kajaribu hiyo kitu kwa binti wa kabila nyingine...kwani mpaka muhaya...

au unajua kuwa kwa wengine ukawii kuikimbiza kwenye feni...teh teh teh


katerero na binti alokulia ugali wa kuurumangia unadhani vinaenda...

nataka muhaya , wengine tayari nina uzoefu nao.
 
Mmh bora kuishi single kuliko kuolewa na wahaya,
 
Weee mhaya wa 'Buzi'??

Utamu wa wahaya uko kwenye 'njoge' mbichi
.

Bora kongosho Wewe uliwahi kuonja kitu cha mhaya! Wapi katerero wewe,! Bado unaikumbuka Sikh ileee ya gulio katerero ilikuwa mzuri sana!
 
we acha tu..... sasa nimeajiriwa serikalini nipo wilaya Fulani hivi najuuutaaa kupafahamu...maafisa utumishi wahaya, mkuu wa wilaya muhaya.\, mkurugenzi muhaya,bosi wetu muhaya... kama wee si muhaya utapeleka wapi shida yako isikilizwe kirahisi!!!!!!???? yani mpaka usote lasivo uwe tayari kugawa.....
Ni wa kuwazoea tu hao maana wana changamoto but ukiwazoea utapiga kazi kama kawaida na utapata marafiki na wanakukaribisha ndizi zao za kusonga
 
Sasa mpaka nikutafutie mie ndugu yangu...huna vigezo au?

na kama ushapiga kwingine muhaya unamtakia nini...au unaamini ya muhaya 'tamu' zaidi....

hiyo ya utamu sina uhakika nalo ,,,,,,,,,,,,

ila kuna jambo kuhusu maumbile yao ndiyo linalonishawishi...........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom