Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
![]()
![]()
hapana kaka sikutaka tu kuitumia
ngoja niwataje ninaofahamiana nao humu1....
2....
3....
Baadae nitamalizia wengine
![]()
![]()
hapana kaka sikutaka tu kuitumia
ngoja niwataje ninaofahamiana nao humuHivi uledi mpango ulishawahi kujaribu....?? Maana hata Mr Rocky unamuhusu Mshana Jr....Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Kaka! Mambo niaje?Hivi uledi mpango ulishawahi kujaribu....?? Maana hata Mr Rocky unamuhusu Mshana Jr....
![]()
watu na fani zao
sio fan wala nini!!
Very well said![]()
![]()
![]()
sio fan wala nini!!
Na ni vyema wadada wasipende kuonana na watu, wengine ni wabaya sana! Hawasiti kukuandika jinsi walivyokuona
Na kuponda kwingi.
Mimi kuna wadada nimekutana nao mara kadhaa bila hata wao wenyewe kujijua, wakati unakuta nawajua kabisa na ID zao, but i never write a shit on them...
I respect them...
Ndio heshima inayotakiwa.....![]()
![]()
![]()
sio fan wala nini!!
Na ni vyema wadada wasipende kuonana na watu, wengine ni wabaya sana! Hawasiti kukuandika jinsi walivyokuona
Na kuponda kwingi.
Mimi kuna wadada nimekutana nao mara kadhaa bila hata wao wenyewe kujijua, wakati unakuta nawajua kabisa na ID zao, but i never write a shit on them...
I respect them...