marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
Nyuzi kama hizi hautowaona.![]()
kama jambazi kaambiwa aende central akahakiki silaha yakeNitamtaja baadaye.Mtaje basi tumjue
Hebu mdirect kwangu nataka pini niweke ndanuNamjua Monicer tu maana nishamuona na ni babe face wa hatariiii, kidogo tu nitangaze nia maana yupo single ila nikajikaza kwa sababu sipo single
Eeeeeh! wanawake wa Kiafrika wanapenda sana Ushirikina hawawezi kukukimbia hata siku moja.
Wewe utakuwa unaficha siri tu lakini ukweli ni kwamba unafahamiana nao wengi tu humu.

Iceman 3D kumbe sipo peke yanguHawa hapa chini wanajitambulisha kama wanawake, lakini matendo yao yanadhihirisha ni wavulana :-
1. moniccca
2. richaabra
3. Miss Natafuta
4. amanda cute
5. I am a girl
Preta mambo, naomba tuonane!
😀😀
Mi sijali niwe mwanaume au mwanamkekama kuna anayekufahamu atakutaja!
kama hamna ukweli utabaki nao wewe mwenyewe.

Hata ndumba imegoma kaka mkubwa au?Mnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama ni kisu, kimechoma hadi kwenye mfupa....Hawa hapa chini wanajitambulisha kama wanawake, lakini matendo yao yanadhihirisha ni wavulana :-
1. moniccca
2. richaabra
3. Miss Natafuta
4. amanda cute
5. I am a girl

Ukishajua ikusaidie nnWewe ni Ke au ni Me Ke?
Hata dumba imegoma kaka mkubwa au?
hapana kaka sikutaka tu kuitumia