Skate Boy
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 312
- 204
Wanajua ni walewale T,,,,,,, SKaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Wanajua ni walewale T,,,,,,, SKaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Fanya editing mkuu. Unataka umfanye mshana jr???Na dawa zako zote wanakukataa,nitafute nikuoe maujanja mkuu
Xmas nlikatoa out kamoja, duuuuh ilikua sio pouwaaaWatu wanajuana humu ohoo
Really?? Ntamtafuta!!among the cutest lady in JF
just kidding guysHumu lazima uwe fyatu, ukiwa timamu sana upawezi, humu sio kwa mchezo mchezo mkuuWanajitoaga akili tu wwakiwa humu... Mi nawafahamu wawili kwa kuonana na kuongea... VYUMA HASWA.... lakini niliporudi kusoma makomenti yao nikachoka
Mi siwaachi... wapo wengine wanajitongoza wenyewe... Anatumia ID yake ya Kike au kiume kuitongoza ID nyingine...

Chuma hchooo shkamooNipo Juzi ,Jana na Leo
Halaf inakuwajeNataman kukujua ujuee![]()
![]()
Ilikuaje?Xmas nlikatoa out kamoja, duuuuh ilikua sio pouwaaa
poa sana......tuonane mkuu.......upo wapi.....?....
Mnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi nipo Iringa, Wilaya ya Mufindi, kijiji cha Malangali.
Wewe mwenzangu uko wapi?
Kwann mkuu??Asante chief kwa Uzi huu n muafaka sn kwa kipindi hichi kwani wengine hatuna muda mrefu humu
Mwalimu au unanunua mazao mitaa hiyo?