mmmmh so futi tano ni mfupi
Ni 5.9 mkuu
Mkuu, 6" kwa sasa ni wachache sana. Huwa nikiwa kwenye umati napenda Sana kujipima, sifiki 6" lakini nikisimama ni wachache wanaonizidi.. Kweli kizazi kinazidi kuwa na watu wafupi.
tatizo mnajenga picha kwa avatar na maneno yetu!!!! tukionana tunakimbiana kumbe ndio REALITY
Mimi nimeruhusiwa kusema uongo mi sijui
Luv you million times! # Warefu + black!
Kuna uwezekano Converter yangu inadanganya! Mana huku 177cm imetoa jibu la 5.80709feets!
Embu nawe iangalie tena!
Mi ni mwamaume mtrfu na futi tano na nusuu...mwanamkee anaesema toluuz tuna dharauu bhasii lazima awe ni dwarfism....so hatuendaniii...... apiteee iviiiiii
1 ft ni 30 cm.
Ft 5 ni 150 cm
Katika 177 ft ukitoa 150 ft zinabaki 27 ft.
27 ft divide by 30 ni 0.9
mkuu thanks for this "break the bank" opinion about tall men.never knew we're this magnetic to most women.
asante mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu.5.6 si haba,nina haki ya kujisikia.lol
WANAUME WAREFU NI WATAM SANA HASA KWENYE TENDO LA NDOA,KWANI MWANAUME YEYOTE MREFU HUWA BUNDUKI INAKUWA NDEFU,HIYO NDO RAHA YA MWANAMKE. VIFUPI VINATEKENYA. NI SAWA KUJIKUNA MGONGON NA KIJIT KIFUPI,USIPOFIKA SEHEM UNAYOHTAJ KUKUNA UTATESEKA. LAKINI KIREFU! Aah mbona safi?