Hao warefu ndio wana inferiority complex au?
Hahahahaaaa! Too much is harmful!
6.5feets na viduu vya tz vyenye 4.5 or 5.0 lazima wakuone unadharau!
Tolu hoyeee?
Wanaume warefu wanaringa sana wachoyo malaya aiii
Bado km cm 5 niguse juu ya mlango,hatuna dharau sema kujiamin na kutokua na shobo ndo mnatuona tunadharau
Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti.
Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.
Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.
Be serious.
Uhusiano upo. Kwa mfano wengi wa watu wanaokuwa percieved kama intelligent huwa na kawaida ya kuwa na dharau sana. Nina uzoefu na hawa watu hivyo ninajua ninachokisema. Ila kuhusu dharau na urefu sidhani. Dharau kwa siku hizi ni pesa tu. Ndio maana kama unapesa hata ukiwa mfupi vipi utaheshimika tu.sidhani kama tabia na maumbile vina uhusiano wowote
Hebu vuta kumbukumbu utakuwa ni wewe ndio uliniambia hivyo.
Ufikie juu ya mlango wa banda la kuku au sungura,
WANAUME WAREFU NI WATAM SANA HASA KWENYE TENDO LA NDOA,KWANI MWANAUME YEYOTE MREFU HUWA BUNDUKI INAKUWA NDEFU,HIYO NDO RAHA YA MWANAMKE. VIFUPI VINATEKENYA. NI SAWA KUJIKUNA MGONGON NA KIJIT KIFUPI,USIPOFIKA SEHEM UNAYOHTAJ KUKUNA UTATESEKA. LAKINI KIREFU! Aah mbona safi?
Wanaume warefu wanaringa sana wachoyo malaya aiii
Kyekue mnatusingizia Bana.
Huwa hatupendi kupiga makelele kama Andunjez.
Ndo maana mnatuchukulia kuwa tunaringa...
Pia siyo malaya, ila tunajithidi kuwapa fursa sawa warembo kudeti na sisi. Tukisema tubaki na mmoja kuna wengine tutawakosesha hii fursa...
Mi ni mwamaume mtrfu na futi tano na nusuu...mwanamkee anaesema toluuz tuna dharauu bhasii lazima awe ni dwarfism....so hatuendaniii...... apiteee iviiiiii