Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

mkuu thanks for this "break the bank" opinion about tall men.never knew we're this magnetic to most women.
asante mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu.5.6 si haba,nina haki ya kujisikia.lol

seriously???!
 
Hata uwe mrefu kama Hasheem Thabeet lkn kama hauna pesa ndiyo utadharauliwa zaidi kwa kuitwa Ngongoti!

Mm isha shuhudia jamaa mfupiiii lkn ana pesa balaa mademu walikuwa wanamuita "Tall"yy anafurahi anawapa pesa!Urefu bila pesa watakuzushia wewe ni jini
 
Wadada wafupi nao hawajiamini kabisa, yaani chochote utakachokifanya wao wanahc kuonewa.
Ndio maana nakoshwa sana na mabinti warefu, wako poa sn kuanzia mvuto wa nje, hadi vya ndani raha tupu
 
Mwanmke mda wote anapenda ulinzi,kisaikolokia akiwa na mredu na mtu anayejiamini anajisikia hivyo,sasa andunje haaminiki hapo japo ni uuumnaji wa mungu,kuhusu gegedo,wafupi huwa na gegedo fupi kama Sentimeta 4 inayoishia kukuna mashavu ya nje na kumwacha mwandani akitorokea kwa mtedu agegedwe vizuri.
 
Duh! Futi tano na nusu yaani 5'5 au 5'6 ambayo ndo futi tano na nusu na ni tolu, basi kweli urefu ni mtazamo tu wa mtu. Mimi ni 5'10 na sijioni tolu. Kama kweli we ni tolu kama jamii inavyodhani, basi pata vipimo vyako sahihi. 5'6 sio tolu.

tolu anatakiwa aanzie futi ngapi sasa
 
Mmmm inaonyesha na wewe una vitabia vya andunje ingawa ni mrefu!

Hahahahahahahaaa! Tabia za andunje zitabaki kuwa za andunje! Na za tolu zitabaki kuwa za tolu!

Proud to be tolu!
Jiamini!

Tolu hoyeee?
 
mkuu thanks for this "break the bank" opinion about tall men.never knew we're this magnetic to most women.
asante mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu.5.6 si haba,nina haki ya kujisikia.lol

5,6 ft sio tall mkuu labda ungekuwa umefika 6ft.
 
Back
Top Bottom