Masuonline
Senior Member
- Jun 4, 2013
- 192
- 17
am totally love them
jichagulieni sasa.kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti. Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.
Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. Nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.
Be serious.
Mimi mrefu Handsome halafu nna pesa xo nnadharauuuuuu vidada vifupi vina jiskia xn hasa akipewa kashepu ka ulemavu baaaaaaasi
Ukifanya ''rounding off'' ndio unapata majibu kama yako. Lakini kimahesabu zaidi 1ft = 30.48cm of which hizo 0.48cm kwa kila foot brings a big difference ukitaka kuwa precise.
So 177cm divide by 30.48 gives you 5.807 feet. Wafupi tuna shida...lol
Hahahahaaa! Luv you more mamy!
Na wewe ni tolu vile?
Tolu hoyeee?
Mkuu kwani unaurefu gani?
Kunasehem umesema haujafika 6ft but mara nyingi ukiwa na watu, wengi umewapita! Then hapa unasema wafupi mna shida!
Nimesema wafupi coz sipo kwenye kundi la warefu. Japo nikisimama na wengi naona kawaida tu. Nina 5.7" ndo maana najiita mfupi..
Uyo ulimquete na kukuambia yeye ana 5.10 siju math kasoma wapi! 5.10 = 5.1! Kafupi tu!
we unazo ngapi best nijipime kama nakufikia
Hahahahahahaaa! Sinaga urefu najitapa tu!
180cm = 5.9feets! Teh teh teh!
hahaha hata hapo ni mrefu umenipita inchi tano tu za kuvalia high heels
Dah! Kidem dem wewe ni tolu sana! Hongera!
mi mrefi sana ila cna hzo tabia.......moja tu ni kwamba SIWAPENDI watu wafupi...
wanaume wenye pesa ndio wanajickia na wenye dharau si maumbile!!