Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti.
Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.
Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.
Be serious.

Samahani, umewauliza swali wadada wa jf, mi ni ME, ila kwa udadisi tu, Je kwa maelezo yako Utolu unaanzia vipimo gani vya futi?
 
Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti.
Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.
Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.
Be serious.

mkuu thanks for this "break the bank" opinion about tall men.never knew we're this magnetic to most women.
asante mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu.5.6 si haba,nina haki ya kujisikia.lol
 
Tabia zetu ni wapole na hatuna maneno mingi ila ni wacheshi tatizo la hao jamaa wakimo cha kiberiti hawajiamini na ndio mana wanaongea sanaaaa viandunje ni janga.

Hahahaaaaa hongera kwa urefu! Mi mwanaume mfupi namuogopa sana kwa vitimbwi na shallow mind!
 
mkuu thanks for this "break the bank" opinion about tall men.never knew we're this magnetic to most women.
asante mungu kwa kuniumba mwanaume mrefu.5.6 si haba,nina haki ya kujisikia.lol

eeeeee eti nawe mrefu????
 
Unaona umeanza kuonyesha vitabia vya ufupi hata kwenye post yangu umekata maneno lol! Wanchekesha!!!

hahaha.nyinyi watu wabishi sana.kuna wanaodai eti mlivumbua ngazi.
 
Back
Top Bottom