Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti. Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.

Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.

Be serious.

which mode of justification are u using....?? Specific to general or general to specific ???

coz ni sawa sawa na fallacy iliyawajaa wanawake kwa wanaume wengi kuwa "binti mwenye ngozi nyeupe ndo mzuri" , (wanawake -wanajichubua kwa mikorogo na carorite) na wanaume pia wanadata na rangi nyaupe... sasa ndo kama premice alizoleta mtoa mada. mi nadhani suala la dharau ni suala la mtu kama mtu na sio urefu ndo unaleta dharau na kujisikia...
 

Attachments

  • Zhao-Liang.jpg
    Zhao-Liang.jpg
    33 KB · Views: 168
  • frhh.jpg
    frhh.jpg
    9.3 KB · Views: 538
  • index.jpg
    index.jpg
    9.6 KB · Views: 159
Mi ni mrefu wa 170cm,lakini sipendi tabia hii chafu ya kuwaita wenzenu "mapimbi" au "kimo cha kiberiti"
Si vizuri kumdharau binadamu mwenzako kwa sababu ya umbo lake.
Msipotubu mioyoni mwenu,mlaaniwe milele.
 
dharau sio jambo jema

sio tu kwa wafupi hata kwa watu wengine
 
Nini kipimo cha mtu kuwa huyu n mfup na huyu mrefu
kwa mujibu wa wikipedia, watu wa tanzania wana wastani wa urefu wa 156.6 cm (5 ft 1 [SUP]1[/SUP]⁄[SUB]2[/SUB] in). zaidi ya hapo anasemekana ni mrefu, chini ya hapo anakuwa ni mfupi

urefu au ufupi unatofautiana eneo na eneo, sehemu zingine pipo zote ni mbegu fupi
 
Ni kweli bhana,tena akiwa mrefu na mweupe,pozi zake sasa,utachokaaaa…!!!
 
hili lina ukweli ndani yake, wanaume wafupi jamani they know how to love n care, warefu majanga plus
 
Back
Top Bottom