Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Mi ni mwamaume mtrfu na futi tano na nusuu...mwanamkee anaesema toluuz tuna dharauu bhasii lazima awe ni dwarfism....so hatuendaniii...... apiteee iviiiiii
 
Naturally watu wafupi hawajiamini hii inapelekea kufanya warefu waonekane wanajidai, wanadharau maana wanajiamini
 
Duuuh kla mtu sasa mrefu,mrefu pia bt nachojua nikujiamini na kutokua muongeaji mbele za watu co dharau
 
Bado km cm 5 niguse juu ya mlango,hatuna dharau sema kujiamin na kutokua na shobo ndo mnatuona tunadharau
 
Back
Top Bottom