Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Wadada: wanaume warefu wanajisikia na wana dharau

Hata uwe mrefu kama Hasheem Thabeet lkn kama hauna pesa ndiyo utadharauliwa zaidi kwa kuitwa Ngongoti!

Mm isha shuhudia jamaa mfupiiii lkn ana pesa balaa mademu walikuwa wanamuita "Tall"yy anafurahi anawapa pesa!Urefu bila pesa watakuzushia wewe ni jini

Huko ni kudhihakiwa na kukejeliwa, mtu anakuita tall wakati wewe unajua na tnajulikana kuwa ni short maana yake nini?
 
Mkuu, 6" kwa sasa ni wachache sana. Huwa nikiwa kwenye umati napenda Sana kujipima, sifiki 6" lakini nikisimama ni wachache wanaonizidi.. Kweli kizazi kinazidi kuwa na watu wafupi.

Naam mkuu! watu warefu ni nadra sana kuonekana.
 
Hivi ili mtu aitwe mrefu anatakiwa awe na futi au centimeter ngapi?
 
Mimi siyo mrefu nina cm 182 tu. Ni msikilizaji zaidi kuliko msemaji na huwa sipendi longolongo na story zisizoisha. Nilichojifunza ni kuwa watu wanaoongea sana ama wanawasema watu wengine au wanarudiarudia hadithi zilezile ila zinabadilishwa tu kidogo kuzipa mvuto zaidi. Ukikaa na mtu mwongeaji sana kwa muda akianza tu story utakuwa unajuwa anachokwenda kusema.
 
Duh! Futi tano na nusu yaani 5'5 au 5'6 ambayo ndo futi tano na nusu na ni tolu, basi kweli urefu ni mtazamo tu wa mtu. Mimi ni 5'10 na sijioni tolu. Kama kweli we ni tolu kama jamii inavyodhani, basi pata vipimo vyako sahihi. 5'6 sio tolu.

Eee urefu gani huo maana mie nina 7" ur toka mguuni adi utosini.
 
Mimi siyo mrefu nina cm 182 tu. Ni msikilizaji zaidi kuliko msemaji na huwa sipendi longolongo na story zisizoisha. Nilichojifunza ni kuwa watu wanaoongea sana ama wanawasema watu wengine au wanarudiarudia hadithi zilezile ila zinabadilishwa tu kidogo kuzipa mvuto zaidi. Ukikaa na mtu mwongeaji sana kwa muda akianza tu story utakuwa unajuwa anachokwenda kusema.

We jamaa ni mkurya.
 
Ni kweli ebu cheki hapo
 

Attachments

  • 1406184411953.jpg
    1406184411953.jpg
    32.3 KB · Views: 159
cm 177 ni futi ngapi...?

Eeeeeee huyu anahitaji msaada, mathematicians come zis way! watu wanajipima na rula! Hii mada inanifurahisha sana! Ila ningetoa ushauri tuu my kaka! Fedha ni kila kitu usijali mambo mengine saaana!
 
Back
Top Bottom