Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,388
Wakubwa kabla ya yote naomba niwatakie members wote merry x mass &happy new year
Ingawa sina muda mrefu sana tangu nijiunge na JF lakini kwa huu muda mfupi tu nimetokea kukoshwa mno na hawa wadada waliomo JF.vifuatavyo ndivyo vinavyonipagawisha kutoka kwao;
1.Majina yenye mvuto either kwa kuyasoma au kwa kuyatamka,mf Ashadii,Smile,Faizafox,happiness win,Angel nylon na wengineo wengi
2.jinsi wanavyojua kutupia thread kali na zenye maana hasa kwenye jukwaa la MMU
3.jinsi wanavyojua kuchangia mada vizuri hasa kwenye jukwaa la MMU
4.Walivyo na msimamo mkali hasa kwa members wa kiume wa JF(Except me-jokes) wanapoonesha hisia za mapenzi juu yao
5.wanavyoipenda na kuithamini JF Kuliko hata maboyfriend wao(jokes) kwani nina uhakika ni vigumu sana kwa wao ipite siku bila kuingia JF.
I LOVE ALL THE DADAZ WA JF.
Ingawa sina muda mrefu sana tangu nijiunge na JF lakini kwa huu muda mfupi tu nimetokea kukoshwa mno na hawa wadada waliomo JF.vifuatavyo ndivyo vinavyonipagawisha kutoka kwao;
1.Majina yenye mvuto either kwa kuyasoma au kwa kuyatamka,mf Ashadii,Smile,Faizafox,happiness win,Angel nylon na wengineo wengi
2.jinsi wanavyojua kutupia thread kali na zenye maana hasa kwenye jukwaa la MMU
3.jinsi wanavyojua kuchangia mada vizuri hasa kwenye jukwaa la MMU
4.Walivyo na msimamo mkali hasa kwa members wa kiume wa JF(Except me-jokes) wanapoonesha hisia za mapenzi juu yao
5.wanavyoipenda na kuithamini JF Kuliko hata maboyfriend wao(jokes) kwani nina uhakika ni vigumu sana kwa wao ipite siku bila kuingia JF.
I LOVE ALL THE DADAZ WA JF.