Wadada mnaovaa mawigi kuweni makini mnapopita kwenye hii milango ya kisasa

Tag wengine
Mimi ni low cut... I have nothing to do with wigs.
Daaah kuna mwamba hapo juu kasema wewe ni pisi kali ya kwenda ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ila kwani low cut wengi wanavaa wigs hasa hasa kwenye parties na events.
 
Kichwa kibaya ndo kipojeee?

Mtoto wa mzazi mwenzio unamnena ana kichwa kibaya, hamnaga kitu kibaya, tafsiri ako ndo inakufanya ufikirie ivo
 
Hahaha Namsikiliza kp wa clouds asubuhi hii anasema unakutana na aliyevaa godoro kuboost shape halafu mvua ikamnyeshea godoro kinajaa maji kinakuwa kizito akikaa kwenye kiti maji yanakamulika waaaaaa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Daaah kuna mwamba hapo juu kasema wewe ni pisi kali ya kwenda ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ila kwani low cut wengi wanavaa wigs hasa hasa kwenye parties na events.
Wapo.. ila uliyenitag sivai wigi
Najiona niko vizuri kwenye low cut kuliko hizo korokoro zingine.
 
Wanawake ambao wanakat nywele yaan kifup kama wakisabato huwa nawakubali na nawakat vzr jikubalin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom