shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 628
- 2,120
Mkuu hawa viumbe wanakera Sana,
Juzi kati nilikutana na dada mmoja kijijini kwetu ni miaka mingi sijaonana nae kwani alikuwa udsm anasoma
Basi bwana nikamuita kwa bashasha maana ni jirani yangu,,aliishia kunishusha tu duuh sikuamini aisee,,
Malipo apa apa duniani
#Jana kaja kuomba namba ya dada angu anatafuta connection nikamwambia ww hapa uondoke na ukiendelea kukaa napiga kelele unanishawishi tufanye ngono#
Kama alikaa tena
Watu mmevurugwa