Naki 12
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 1,232
- 1,239
Mhh basi ni dharau zake tu, wa hivo hata mwanamke mwenzie anaweza msalimia asimjibu.Hellow mambo sister...! Akanikodolea macho tu mkuu.
Mhh basi ni dharau zake tu, wa hivo hata mwanamke mwenzie anaweza msalimia asimjibu.Hellow mambo sister...! Akanikodolea macho tu mkuu.
kuna mdau kasema ni imani za kishirikina...nahisi kuna ukweli...Jamani kivipi tena mamiii...?
Nakumbuka mwaka Jana niliwahi msalimia mda mmoja njiani 'mambo dada angu' matokeo yake akanifyonya!! Halafu akanambia, "kawazoee hao hao Malaya uliowazoea"
Nikabaki najiuliza, kosa langu hapo ni lipi, Kuna mama mmoja alikuwa ni rafiki yake mama yangu, alikuja nyumbani, nikatambulishwa pale, yule mama akanambia "kama utaweza naomba nikupeleke nyumbani ukawe unanifundishia mwanangu"
Kweli, siku ya kwanza nimefika nikakakuta kavulana ka darasa la sita nikakafundisha, siku iliyofuata wakati namfundisha yule mtoto, yule mdada akaingia ndani, kumbe ni dada wa huyo mwanafunzi ninayemfundisha, mama yake akanitambulisha kwake!! Hiyo aibu iliyomjaa siku iyo bhana!! Nyie acheni tu!! Na Kwa hasira nilizonazo sikuwahi kuongea nae mpaka siku namaliza huo mkataba!! Ingawaje alikuwa ananipa salamu, ila namnyamazia tu!!
Mhh basi ni dharau zake tu, wa hivo hata mwanamke mwenzie anaweza msalimia asimjibu.
Kuna watu wengi tunapishana nao mitaani wana magonjwa ya akili. Magonjwa ya akili yako katika viwango tofauti tofauti.
Kuringa nako ni dalili mojawapo ya ugonjwa wa akili.
Nilichoandika sio mawazo,ni kitu kipo...mimi ni wa kike,nina marafiki wa kike wenye hizo tabia na wananipa hiyo sababu
Ninae rafiki hakubali salamu ya mwanaume asiye na gari
Kwake yeye mwanaume mwenye gari ndio mwenye haki ya kuongea nae
Huyo rafiki yako ana dalili mojawapo za ugonjwa wa akili. Mpelekeni kwa mtaalamu wa magonjwa ya akili kabla hamjachelewa!
kuna mdau kasema ni imani za kishirikina...nahisi kuna ukweli...
🙃
kumbe nimeusemea 💓....basi rowin anapenda kusalimia sana anapopishana nao....anajihisi ni mmojawao....vizuri salam iambatane na tabasamu...isipojibiwa basi atakuwa mgonjwa, kama mdau hapo juu alivyowakilisha...Jamani mie nimekuuliza wewe then wewe tena unausemea moyo my dear...!
😍
kumbe nimeusemea 💓....basi rowin anapenda kusalimia sana anapopishana nao....anajihisi ni mmojawao....vizuri salam iambatane na tabasamu...isipojibiwa basi atakuwa mgonjwa, kama mdau hapo juu alivyowakilisha...
🙃
Tumia hii formulaSalaam/Shalom.
Kuna hili suala huwa linanishangaza sana, utakuta unamsalimia mtu halafu matokeo yake huyo unayemsalimia utakuta anakuangalia tu.
Huwa najiuliza sana hili swali, hivi mkijibu salaam huwa mnapungukiwa na kitu gani dada zangu...?
Leo nilikuwa Mount Meru Hospital kwa ajili ya kupima COVID 19 coz kuna kasafari kidogo cha nje, basi nikasema hebu ngoja nitoke nje ya geti nikanunue maji ya kunywa then nirudi ndani na muda wa kuona wagonjwa ulikuwa umeshaisha na askari akawa anazuia watu wasiingie.
Basi wakati natoka nje nikapishana na mdada mmoja mweupeeee anaingia ndani kumuona mgonjwa wake, nikamsalimia yule dada akawa ananiangalia tu, basi nikapishana nae nikanunua maji nikawa narudi ndani.
Nafika getini nikamkuta yule mdada amezuiwa kuingia ndani kwa kuwa muda wa kuona wagonjwa ulishaisha, basi nilivyofika getini askari akaniambia MKUU INGIA INGIA nikapita zangu nikamuacha yule mdada anamsihi, anambembeleza na kumuomba sana askari wa getini amruhusu aingie ndani kumuona mgonjwa wake, lakini bila ya mafanikio hakuweza kuingia ndani.
Ningeweza kumwambia tu askari MRUHUSU AINGIE na askari asingeuliza mara 2, ila unaanzaje kumuombea msaada mtu ambaye hata salaam yako ameshindwa kujibu akabaki anakuangalia tu...?
Matokeo yake ikabidi arudi nyumbani kama alivyokuja. Hivi, mnaposalimiwa then mkajibu salaam huwa mnapungukiwa na kitu gani dada zangu...?
Badilikeni aisee sio kila salaam ina ubaya ndani yake salaam nyingine zina baraka ndani yake, hivyo msiwe wenye kujikosesha baraka wenyewe kwa kushindwa kujibu kitu kidogo tu dada zangu. SALAAM.
NAWASILISHA.
hakunaga vya bure....uliza utaambiwa...your own risk....😉Wow umenifanya nikupende bure my dear.
So lovely...!
umeeleweka sana....😉Tumia hii formula
1.usimsalimie mwanamke ambaye humjui njiani,wala kumuongelesha.
2.salimia pale tu unapoenda sehemu na ni lazima usalimie,dukani,ofisini,unashida,umeitwa,umemuita mtu etc
Moja ya tabia yangu ndio hii naweza kutembea nisimsalimie mwanamke lkn mwanaume ata kusimama kwa ajir ya salam naweza ,ata sehem za huduma sana sana hiz za madukan itokee tu sina jinc ndio naenda kwa watoa huduma wa kike sio kama nawachukia au siwapendi ila wanawake zalau zimezd asa ukiwa na muonekano au hali fulan ambayo wanaichukulia si nzurumeeleweka sana....
basi nikajua unakimbia washirikina.....kumbe dharau tu...Moja ya tabia yangu ndio hii naweza kutembea nisimsalimie mwanamke lkn mwanaume ata kusimama kwa ajir ya salam naweza ,ata sehem za huduma sana sana hiz za madukan itokee tu sina jinc ndio naenda kwa watoa huduma wa kike sio kama nawachukia au siwapendi ila wanawake zalau zimezd asa ukiwa na muonekano au hali fulan ambayo wanaichukulia si nzur
PointKuuguza kunatia mawazo, yamkini hata hiyo salamu yako hakuisikia kwasababu ya kujawa na mawazo mengi hasa ukizingatia kuwa alikuwa amechelewa muda wa kuingia kumuona mgonjwa wake. Huyo dada alistahili huruma na sio lawama!
Kama,,,,,✓Tumia hii formula
1.usimsalimie mwanamke ambaye humjui njiani,wala kumuongelesha.
2.salimia pale tu unapoenda sehemu na ni lazima usalimie,dukani,ofisini,unashida,umeitwa,umemuita mtu etc