Wadada kuweni wasafi jamani!

Wadada kuweni wasafi jamani!

Mmmmh jamani wanawake huwa wanaboa smell, mpaka sasa hivi sitaki tena...niliwahi kukutana selfie moja balaa...m.boo ilisinyaa ikiwa ndani ya k ...si mchezo, bora upishane na Gari ya taka kuliko Huyu....ni sista duu...msafi nje..kumbe ndani wamefia panya
 
Mmmmh jamani wanawake huwa wanaboa smell, mpaka sasa hivi sitaki tena...niliwahi kukutana selfie moja balaa...m.boo ilisinyaa ikiwa ndani ya k ...si mchezo, bora upishane na Gari ya taka kuliko Huyu....ni sista duu...msafi nje..kumbe ndani wamefia panya

haahaa haahaa pipoozz
 
Kitaalumu haturhusiwi kujiingizia vidole huyo atakuwa ana matatzo au habadilishi nguo
Ni kweli k haitakiwi kuingiza kitu chochote maana mungu kaipa pafum ya pekee,ukiweka kidole mara kwa mara inaharibika inakosa hualisia na inatanuka, huyu aliyekutana naye anafungus au kaswende inabidivamtibie
 
Ila tuache kuwalaumu sana. Ukipanga nae kutoka na akakukubali fanya basi hata kumrushia pesa ili ajiongeze mwenyewe na kuja kwako akiwa msafi vile utakavyo wewe. Unajua mwanamke nae ukiwa unamuhudumia vizuri, nae atajitahidi kujiweka katika mazingira ya kukuridhisha. Lakini wewe unaita tuu, unapiga na kusepa, humpi chochote, humfanyii chochote, na ukimkuta ni zaidi ya vile unavyotarajia, yani msafi sana na anapendeza wakati haumuhudumii kwa chochote, unaanza maswali, umepata wapi, nani kakupa, blah blah blah kibao.
 
Tehe teh, mwaka fulan nilikutana na demu wa dizain hiyo kwa akina nshomile mjini. Usoni balaa ni mzuri kinoma. Sasa kuingia mechi majanga, bahati nzuri nilitumia zana za kinga, ila kuingia tu nikaibua bonge la harufu na stimu yote ikakata. Nilitapika aisee na ilinichukua km mwezi hivi kurudia hali ya kawaida ya kuwa na feelings kwa mwanamke.
 
Hiyo ni hali ya kutotumia ndomu Na ana wengi wanamwaga humo lazima mchanganyiko utoe harufu kali

Hii niliwahi kuisikia sehemu.
Wanasema eti mwanaume akikuingilia bila kuvaa kondomu na akakumwagia ndani shahawa eti ukilala nazo zinaozesha K.
Wataalamu jamani
 
Some time mwanamke kujirahisisha na kuingiliwa na kila mwanaume huchangia kupata magonjwa ya kunuka papuchi kwasababu kila mwanaume ana bacteria zake sasa ukiruhusu kusuuza rungu la kila mwanaume usipo ambulia gono basi utapata hata kunuka uchi wanawake yapasa kujiheshimu na kutunza nyuke zetu sababu ni sawa na mboga inapotiwatiwa vidole vya kila aina lazma ichache
 
Sasa una kuta mtu inakubidi ucheze chini ya kiwango kutokana na mdada kuwa mchafu kunako K,.

Una mkuta dada ni sister do lakini kitumbua chake ni balaa! Hivi mnashindwa nn mkienda kuoga kuwa mnaingiza vidole kwenye naniliu zenu ili kutoa uchafu?

Badirikeni bhana!!

Msaidia atakuwa na fagus msaidie aende hispital apewe dawa atapona kabisa.Utashangaa sana jinsi K itakavyokuwa safi
 
Nakushauri achana na wanawake...

Heri utumie revola tu ili kuepuka kero
 
Some time mwanamke kujirahisisha na kuingiliwa na kila mwanaume huchangia kupata magonjwa ya kunuka papuchi kwasababu kila mwanaume ana bacteria zake sasa ukiruhusu kusuuza rungu la kila mwanaume usipo ambulia gono basi utapata hata kunuka uchi
wanawake yapasa kujiheshimu na kutunza nyuke zetu sababu ni sawa na mboga inapotiwatiwa vidole vya
kila aina lazma ichache
Si kweli hiyo ni infection tu ya kawaida,ukikutana na binti wa hivyo msaidia aende hospital na sio kweli kuwa kwa sababu ni kuwa na wanaume wengi.Muwe na staha kwa dada zenu
 
Tusiwaseme sana mabinti kwani hata sisi wanatuvumilia sana. Mtu unatoka huko umefakamia bia, mavodka, nyama choma na kachumbari domo limechacha na kikwapa juu unafika home hata kupiga mswaki hakuna unaanza kumhangisha mtoto wa watu na pombe zikikutuma hata denda unataka. Binti wa watu masikini anakuhudumia bila kulalamika na ushirikiano anatoa.

Halafu wewe una roho mbaya hata hukumsaidia dada wa watu ukamwacha tu aende zake. Kumbuka kuwa anaweza akawa Hata hajui kuwa ana tatizo hilo. Ushauri nasaha kidogo ungemsaidia sana!
 
Kujiingiza vidole tena!! Unajua madhara yake? Ile kitu iko aoutomatic uchafu hutoka wenyewe, atakuwa na tatizo huko kunako, ajaribu kuhudhuria hospital.
 
Kujiingiza vidole tena!! Unajua madhara yake? Ile kitu iko aoutomatic uchafu hutoka wenyewe, atakuwa na tatizo huko kunako, ajaribu kuhudhuria hospital.

Ukute hata ukienda haja kubwa unatoka hivyohivyo kwa imani kuwa kuko automatic kutajichamba kwenyewe
 
Ukute hata ukienda haja kubwa unatoka hivyohivyo kwa imani kuwa kuko automatic kutajichamba kwenyewe

jamani mbele na nyuma kuko tofauti sana.
Mbele hakuhitaji kuchokonolewa ovyo ovyo
 
Tatizo kwenye mbunye wauza urembo hawajaanza kupewa wazisafishe.
 
Kujiingiza vidole tena!! Unajua madhara yake? Ile kitu iko aoutomatic uchafu hutoka wenyewe, atakuwa na tatizo huko kunako, ajaribu kuhudhuria hospital.

kama bado uko single, basi ujue na wewe ni mhanga, ila washkaji hawajakuambia tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom