Wadada kuweni wasafi jamani!

Wadada kuweni wasafi jamani!

kama ananuka sababu ya ugonjwa aende hospital lakini kama ni uchafu tu awe anajisafisha na maji mengi masafi anajikausha kwa kitaulo kisafi, then anapakaa mafuta ya nazi yanasaidia kukata harufu pia kuondoa weusi hata kwenye mapaja.

Nashukuru sana mkuu rubii kwa ushauri wako wenye mashiko yani nimepata kitu kipya sana nitawaelimisha na wengine
 
Duuuu alafu anatoka hapo anasema wanaume wa siku hizi chipsi zinawaaribu ptyuu
 
Kunaa wengine hawanyoi zile nywele palee kati aisee kama anafuga rasta vile.Nilikitana nayo siku mojaa yaani hadi mzuka ulikata na hadi leo namkwepaga uyo manzi aisee
 
Hakuna watu wanaovumiliwa kama wanaume kwenye hii issu. Lazima sisi wanaume tulitambue hilo. Hawa wenzetu wana mambo mengi huko kwa k. Sio unazungumza tu kwa sababu huku starehe vile ulivyopania. Mxxxy.
 
Ukikuta mchafu unamsafisha kuja kutuandikia hapa hujamsaidia huyo mchafu mwenzio.

Nijuavyo Mimi huwezi kukuta sahani chafu afu ukaichukua na kupakulia chakula lbda uwe mchafu.

Nadhani amekuelewa.
 
Wapo baadhi ya wadada,nii balaa,utazani shombo LA samaki.

Una habari wanaume wanaongoza kwa kunuka midomoni. Kwapa ndo usiseme. Jiulize mdomo unaonuka, chakula kipitacho kinaingia tumboni na halufu gani.

Ukiwa kwenye semina, kwepa sana makundi ya wanaume. Utakutana na midomo kama choo cha shimo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom