Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,196
kama bado uko single, basi ujue na wewe ni mhanga, ila washkaji hawajakuambia tu.
Naomba nikupuuze mkuu.
kama bado uko single, basi ujue na wewe ni mhanga, ila washkaji hawajakuambia tu.
Labda bado yupo kwenye hatua za ukuaji hivyo anahitaji elimu zaidi.
Ya nini?
Kwa kutojitambua.
Umeonyesha ukomavu na uvumilivu wa hali ya juu. When a bully is looking for a fight sometimes ni vizuri ku-ignore tu unless kama ni full fledged attack. Nimejifunza kitu!Oooooh kumbe!! Haya kwaheri.
Umeonyesha ukomavu na uvumilivu wa hali ya juu. When a bully is looking for a fight sometimes ni vizuri ku-ignore tu unless kama ni full fledged attack. Nimejifunza kitu!
haahaa haahaa pipoozz
Ukute hata ukienda haja kubwa unatoka hivyohivyo kwa imani kuwa kuko automatic kutajichamba kwenyewe
Daaaaah!! Sijui hata nikuambie nini aisee, ngoja ninyamaze.
Sasa una kuta mtu inakubidi ucheze chini ya kiwango kutokana na mdada kuwa mchafu kunako K,.
Una mkuta dada ni sister do lakini kitumbua chake ni balaa! Hivi mnashindwa nn mkienda kuoga kuwa mnaingiza vidole kwenye naniliu zenu ili kutoa uchafu?
Badirikeni bhana!!
Kitaalumu haturhusiwi kujiingizia vidole huyo atakuwa ana matatzo au habadilishi nguo
Siyo Mmoja Tu. ila wakiwa zaidi ya mmojaHii niliwahi kuisikia sehemu.
Wanasema eti mwanaume akikuingilia bila kuvaa kondomu na akakumwagia ndani shahawa eti ukilala nazo zinaozesha K.
Wataalamu jamani
mmmmmmmmmmmmm hii taaluma yako kali,sasa unasafishaje mwenzangu ebunipe maujanja?
rafiki wewe huwa unaioshaje kama hamruhusiwi kujipiga kidole?
I mean ukijiingizia vidole kwa ndani kuna bacteria wapo kwa ajili ya ulinzi unawaua hivyo basi ni rahisi kupata maambukiz unachotakiwa kufanya ni kujisafisha kwa juu na maji safi na Salama na kubadili nguo za ndani kwa wakati na zisiwe mbichi