Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,808
Uke ni self cleanliness organ jaman unasafisha juu na maji saf kujisokomeza madole ni kusababisha kuwaondoa wale bacteria wazuri walinzi wa uke mwishowe mpate fangas na mengneyo n kujiweka safi kuvaa chupi zisizobana zwe cotton na kav msianike vyupi bafuni anika juani ikipid ipge pasi ikikauka.
Vipi bidada, wewe unafanya hayo? Je, wanaume hawajawahi kukukimbia kwa harufu? Ikiwa jibu ni ndio basi namna hiyo ya kujisafi inafanya kazi.