Wadada kuweni wasafi jamani!

Wadada kuweni wasafi jamani!

samahani lakini, sasa ule uchafu ulokua ndani unatoka? nadhani tunatofautiana labda mafunzo manake nnakotoka mie kutia kidole ni must kusafisa huko kwa shosti,na sipati picha mzee kapita jana kaweka mzigo unakaa siku 3 anarejea tena ivi kutaingilika kweli? kwa style hiyo lazima akimbie akamtafute mwansiti Gongo la mboto sababu yake haina maji na safi...
haya shosti sorry kama nimekukera, mie wa Pwani usafi wa hiyo kitu ipo kwenye list ya vitu muhimu.........

Dear uko very perfect...kujisafisha kwa vidole muhimu ili utoe uchafu na mabaki mabaki...sawa sawa na mtu anaweka colgate mdomoni, atie maji afu ateme bila kupiga mswaki! Hapo meno yametakata kweli?
 
Dear uko very perfect...kujisafisha kwa vidole muhimu ili utoe uchafu na mabaki mabaki...sawa sawa na mtu anaweka colgate mdomoni, atie maji afu ateme bila kupiga mswaki! Hapo meno yametakata kweli?

Kwani tumboni huwa wanaingiza kidole kusafisha utumbo? Kuna jisafisha kwenyewe kiafya siyo kabisa ndo maana UTI na fungus zinakuwa sugu sana
 
K yenye afya huhitaji kuisokomeza midole.....ni kuhakikisha mashavu yapo safi...

Ukiona k inatoa harufu au uchafu wahi hospitali kucheki ma fungus uti candida na mengineyo
 
K yenye afya huhitaji kuisokomeza midole.....ni kuhakikisha mashavu yapo safi...

Ukiona k inatoa harufu au uchafu wahi hospitali kucheki ma fungus uti candida na mengineyo

Ndiyo hayo hayo mashavu tunayozungumzia mkuu, manake kuna mdau kasema yaani hugusi k kabisa ukienda kuoga!
 
Ndiyo hayo hayo mashavu tunayozungumzia mkuu, manake kuna mdau kasema yaani hugusi k kabisa ukienda kuoga!

Kama ni mashavu sawa yasafishwe...


Ila ujue kuna wale wanaochokonoa k yenyewe na kidole...tena anakwambia anachuchumaa kabisa kwa nafasi busy kuchokonoa

Mweh
 
Ndiyo hayo hayo mashavu tunayozungumzia mkuu, manake kuna mdau kasema yaani hugusi k kabisa ukienda kuoga!

Siyo Atoto pekee anayeona usafi wa papuchi ni automatic, wahanga wa tatizo la mtoa mada wapo wengi sana humu.
 
Mlete nimfundishe jinsi ya kuiosha na kuinyoa kila baada ya siku 2 utampenda tuu
 
Tusiwaseme sana mabinti kwani hata sisi wanatuvumilia sana. Mtu unatoka huko umefakamia bia, mavodka, nyama choma na kachumbari domo limechacha na kikwapa juu unafika home hata kupiga mswaki hakuna unaanza kumhangisha mtoto wa watu na pombe zikikutuma hata denda unataka. Binti wa watu masikini anakuhudumia bila kulalamika na ushirikiano anatoa.

Halafu wewe una roho mbaya hata hukumsaidia dada wa watu ukamwacha tu aende zake. Kumbuka kuwa anaweza akawa Hata hajui kuwa ana tatizo hilo. Ushauri nasaha kidogo ungemsaidia sana!

Eeeeewaaaa.....
 
Mi niliwahi kukimbia demu mmoja wa namna hiyo kabla hata sijachomeka mkuki, alichukia lakini nilikuwa sina jinsi maana stimu ilikatika ghafla mara alipovua pichu.
 
Uke ni self cleanliness organ jaman unasafisha juu na maji saf kujisokomeza madole ni kusababisha kuwaondoa wale bacteria wazuri walinzi wa uke mwishowe mpate fangas na mengneyo n kujiweka safi kuvaa chupi zisizobana zwe cotton na kav msianike vyupi bafuni anika juani ikipid ipge pasi ikikauka.
 
Kuna mambo mengi sio kukosa usafi tu ndio sababu. Kuna magonjwa. Tumia mic kwenye tafrija ya nyumbani tu sio tafrija zote
 
Kuna mambo mengi sio kukosa usafi tu ndio sababu. Kuna magonjwa. Tumia mic kwenye tafrija ya nyumbani tu sio tafrija zote

Sijaelewa....Mic...tafrija...nyumbani
 
Tehe teh, mwaka fulan nilikutana na demu wa dizain hiyo kwa akina nshomile mjini. Usoni balaa ni mzuri kinoma. Sasa kuingia mechi majanga, bahati nzuri nilitumia zana za kinga, ila kuingia tu nikaibua bonge la harufu na stimu yote ikakata. Nilitapika aisee na ilinichukua km mwezi hivi kurudia hali ya kawaida ya kuwa na feelings kwa mwanamke.

Ha ha ha duh pole sana mkuu! Wacha utapike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom