wachumba zangu wana sura mbaya

wachumba zangu wana sura mbaya

sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

unawatoaga wapi hao?
 
Unatafuta kuolewa na Sura??????????
Pata Mume wako sio sura
 
Basi hata na wewe sura mbaya pia.
Au tabia yako mbaya.
Na akili yako yaonesha ni mbaya pia.
Unataka sharobaro weye?
Mtu mweye akili nzuri uangalia uimara
wa mt,ugali upo? Upendo upo? Akili ipo??
husiwapoteze muda wanawake watakao wakubali l
wapo
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
do u have anything special to offer in equivalency to what you want?
 
Wanaume handsome na wenye kila kitu wapo tena wengi. Ukiona huwapati ujue huwavutii. Hao ugly ndo unawavutia. Hmmm kuna kitu kwako hakiko sawa manake ma handsome wenye sifa zote wako selective manake madem huwashobokea kinoma. Sasa wewe ujue kwenye kundi la madem bora haumo!
 
[
Haswaaaaa umenena

QUOTE=Evelyn Salt;6883347]"Mwanamke shape tabia tutarekebishana
mwanaume pesa sura tutavumiliana......"[/QUOTE]
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

Una jinni mahaba!
 
Wanaume handsome na wenye kila kitu wapo tena wengi. Ukiona huwapati ujue huwavutii. Hao ugly ndo unawavutia. Hmmm kuna kitu kwako hakiko sawa manake ma handsome wenye sifa zote wako selective manake madem huwashobokea kinoma. Sasa wewe ujue kwenye kundi la madem bora haumo!
nipo sana bahati mbaya tu.
 
Basi hata na wewe sura mbaya pia.
Au tabia yako mbaya.
Na akili yako yaonesha ni mbaya pia.
Unataka sharobaro weye?
Mtu mweye akili nzuri uangalia uimara
wa mt,ugali upo? Upendo upo? Akili ipo??
husiwapoteze muda wanawake watakao wakubali l
wapo
nipo perfect la sivo nisingepata wachumba hawa. ni wa maana sema tu misura yao mibaya
 
Back
Top Bottom