wachumba zangu wana sura mbaya

wachumba zangu wana sura mbaya

we mama jery,kwani hyo picha kwenye avatar yangu bdo cjakiz vigezo???

Kama yes tukae tuyajenge mama .
 
sijui kama picha za harusi nitathubutu kuweka facebook mwenzangu

inaonekana wewe ni facebook sasa hapa watafuta nini. mwanaume hasifiwi uhandsaome anasifiwa kuweka pesa bank na kudeposit.
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

wanakusugua fleshi lakini
 
Back
Top Bottom