wachumba zangu wana sura mbaya

wachumba zangu wana sura mbaya

Kuna watu wanaishi dunia ya kufikirika aiseee!
 
halafu watu wanasemaga kwa mwanaume hamna cha sura nzuri lolz

akuuuuuuu... while other factors remain constant mvuto wa sura nao ni muhimu lol...

kazana ma jery mwaya usije ukazimia gafla ukiona lisura lake wakati wa mautamu.
 
Last edited by a moderator:
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
Unao wangapi?
 
daa we mkali kila unayenpata sura mbaya,fuata nin moyo wako unahitaji na ufanye maamuz utakayoridhika nayo
 
hapa bongo sura ni hizo hizo za baba yao mizengo.... wewe potezea labda uhame nchi
 
Tatizo wanawake mnapenda sana harusi na picha za harusi kuliko ndoa yenyewe..

Sasa uzuri wa Mwanaume una msaada gani, kama wewe ni mzuri yeye hata akiwa mbaya si ndio mna balance familia..

Tuache ubaguzi sasa kama wazuri na handsome wakiona wenyewe kwa wenyewe unamaanisha wabaya nao wabaki wabaya hivyo hivyo hadi vizazi vyao?

Swala la uzuri na ubaya haupangi wewe, so aliyefanya hao wanaume wawe wabaya ndio aliyekupa wewe uzuri..

Wanawake kama nyinyi kwa bahati mbaya akipatikana mtoto mwenye ulemavu hamchelewi kumtupa maana mnapenda sana maisha ya picha..

Maisha yana changamoto nyingi sana wewe sema wenzako wabaya wakati hujui nini kitakutokea in future as HUJAFA HAUJAUMBIKA
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

uzuri wa mwanamke huko kwenye papuchi.
 
Back
Top Bottom